• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Bariadi District Council
Bariadi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi

  • Mwanzo
  • Huduma
    • Elimu
    • Teknolojia Habari na Mawasiliano
    • Maji
    • Miundombinu
    • Mapato
      • Mazao
      • Pamba
      • Zabuni
      • Minada
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Utawala
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Formu za Maombi
    • Bajeti
    • Vibali
    • Miungozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albamu za Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Endelevu
    • Uwekezaji

IDARA YA MIUNDOMBINU, MAENDELEO YA VIJIJINI NA MJINI

1. IDARA YA MIUNDOMBINU, MAENDELEO YA VIJIJINI NA MJINI

Lengo

Kusimamia na kushauri masuala yote yanayohusu miundombinu katika Halmashauri. Majukumu Kitengo kitafanya kazi zifuatazo:-

  • Kushauri kuhusu masuala ya sekta ya ujenzi;
  • Kupanga maendeleo ya miundombinu;
  • Kuchambua na kutoa mapendekezo ya madai ya malipo ya wakandarasi;
  • Kukagua kazi za ujenzi zinazofanywa na Halmashauri na kuhakikisha ubora wake;
  • Kutoa vyeti kwa wakandarasi kwa mikataba iliyokamilika;
  • Kufanya uwekaji lami wa barabara mpya kwa kushirikiana na TARURA;
  • Kuanzisha na kudumisha ushirikiano na Taasisi za nje na ndani ya Nchi zinazoshughulikia masuala ya miundombinu;
  • Kushiriki katika kuwezesha utatuzi wa migogoro ya matumizi ya ardhi;
  • Kusimamia mchakato wa ukuaji wa miji kwa kushirikiana na Wizara yenye dhamana ya ardhi; na
  • Kusimamia maendeleo ya makazi vijijini na mijini kwa kushirikiana na Wizara yenye dhamana ya Ardhi.


1.2 Sehemu ya Kazi

Kitengo kitafanya shughuli zifuatazo:-

  • Kutoa ushauri wa sheria, kanuni, taratibu na mambo yote yanayohusu ujenzi;
  • Kuchambua, kutafsiri na kusimamia utekelezaji wa sera, sheria na kanuni za masuala ya ujenzi;
  • Kuandaa mikataba inayohusiana na majengo na mitambo;
  • Kutayarisha na kukadiria gharama za ujenzi;
  • Kufuatilia utendaji kazi wa wakandarasi;
  • Kuchambua na kutoa mapendekezo ya madai ya malipo kutoka kwa wakandarasi;
  • Kukagua majengo na kuhakikisha ubora wake;
  • Kutoa hati kwa wakandarasi kwa kazi zilizokamilika kulingana na mikataba; na
  • Kusimamia uendeshaji wa warsha za Halmashauri.

    Sehemu hii itaongozwa na Afisa Mfawidhi.

1.3 Sehemu ya Barabara

Kitengo kitafanya shughuli zifuatazo:-

  • Kutoa ushauri kuhusu masuala yanayohusiana na utambuzi na uwekaji lami wa barabara mpya;
  • Kuchambua, kutafsiri na kusimamia utekelezaji wa sera, sheria na kanuni kwenye barabara za lami;
  • Kutengeneza barabara mpya katika ardhi iliyopimwa;
  • Kuandaa mikataba ya uwekaji lami wa barabara mpya;
  • Kutayarisha makadirio ya gharama za kuweka lami barabara;
  • Kufuatilia utendaji wa wakandarasi;
  • Kutoa hati kwa wakandarasi kwa kazi zilizokamilika kulingana na mikataba;
  • Kuchambua na kutoa mapendekezo ya madai ya malipo kutoka kwa wakandarasi;
  • Kukagua barabara za lami ili kuhakikisha ubora; na
  • Kusimamia ujenzi na matengenezo ya vituo vya mabasi.

  Sehemu hii itaongozwa na Afisa Mfawidhi.

1.4 Sehemu ya Maendeleo Vijijini na Mijini

Sehemu hii itafanya shughuli zifuatazo:-

  • Kusimamia maendeleo ya makazi vijijini na mijini kwa kushirikiana na Wizara yenye dhamana ya ardhi;
  • Kusimamia huduma za kimazingira na kijamii;
  • Kuongoza mipango ya maendeleo ya miji, makazi na matumizi endelevu ya ardhi;
  • Kusimamia na kuratibu usimamizi wa mambo ya kale na utalii;
  • Kusimamia mchakato wa ukuaji wa miji kwa kushirikiana na Wizara yenye dhamana ya ardhi;
  • Kuratibu na kukuza maendeleo ya miji inayochipukia kutoka vijiji hadi makazi ya mijini; na
  • Kushiriki katika kuwezesha utatuzi wa migogoro ya matumizi ya ardhi.

  Sehemu hii itaongozwa na Afisa Mfawidhi.


Matangazo

  • RIPOTI YA MGAWANYO WA IDADI YA WATU KWA UMRI NA JINSI February 13, 2024
  • Mwongozo wa Kitaifa wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 February 19, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji daftari la kudumu la mpiga kura. August 31, 2024
  • Tangazo la Shughuli ya Muda Mfupi kwaajili ya Uchaguzi September 17, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • Muonekano Halisi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana Simiyu

    May 31, 2025
  • ZIARA YA MIRADI YA MAENDELEO BARIADI DC

    May 30, 2025
  • Maafisa Elimu Kata na Wakuu wa Shule Wapatiwa Mafunzo ya Usimamizi wa Ufundishaji na Ujifunzaji Fanisi.

    May 30, 2025
  • DC BARIADI AONYA WANANCHI KUTOCHUNGIA MIFUGO KWENYE MAPORI YA AKIBA

    May 16, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Afisa Wanyamapori Wilaya ya Bariadi, akifafanua kwa undani Banuai ya Halmashauri Wilaya ya Bariadi
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matangazo
  • Habari
  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YAWILAYA BARIADI

Kurasa Husishi

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • Wizara ya Fedha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Bariadi

    Anuani: 109-Bariadi

    Simu: 028 2700012

    Simu: +255683705815

    Barua Pepe: info@bariadidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2019 Bariadi District Council . All rights reserved.