• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Bariadi District Council
Bariadi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi

  • Mwanzo
  • Huduma
    • Elimu
    • Teknolojia Habari na Mawasiliano
    • Maji
    • Miundombinu
    • Mapato
      • Mazao
      • Pamba
      • Zabuni
      • Minada
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Utawala
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Formu za Maombi
    • Bajeti
    • Vibali
    • Miungozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albamu za Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Endelevu
    • Uwekezaji

IDARA YA MIUNDOMBINU, MAENDELEO YA VIJIJINI NA MJINI

1. IDARA YA MIUNDOMBINU, MAENDELEO YA VIJIJINI NA MJINI

Lengo

Kusimamia na kushauri masuala yote yanayohusu miundombinu katika Halmashauri. Majukumu Kitengo kitafanya kazi zifuatazo:-

  • Kushauri kuhusu masuala ya sekta ya ujenzi;
  • Kupanga maendeleo ya miundombinu;
  • Kuchambua na kutoa mapendekezo ya madai ya malipo ya wakandarasi;
  • Kukagua kazi za ujenzi zinazofanywa na Halmashauri na kuhakikisha ubora wake;
  • Kutoa vyeti kwa wakandarasi kwa mikataba iliyokamilika;
  • Kufanya uwekaji lami wa barabara mpya kwa kushirikiana na TARURA;
  • Kuanzisha na kudumisha ushirikiano na Taasisi za nje na ndani ya Nchi zinazoshughulikia masuala ya miundombinu;
  • Kushiriki katika kuwezesha utatuzi wa migogoro ya matumizi ya ardhi;
  • Kusimamia mchakato wa ukuaji wa miji kwa kushirikiana na Wizara yenye dhamana ya ardhi; na
  • Kusimamia maendeleo ya makazi vijijini na mijini kwa kushirikiana na Wizara yenye dhamana ya Ardhi.


1.2 Sehemu ya Kazi

Kitengo kitafanya shughuli zifuatazo:-

  • Kutoa ushauri wa sheria, kanuni, taratibu na mambo yote yanayohusu ujenzi;
  • Kuchambua, kutafsiri na kusimamia utekelezaji wa sera, sheria na kanuni za masuala ya ujenzi;
  • Kuandaa mikataba inayohusiana na majengo na mitambo;
  • Kutayarisha na kukadiria gharama za ujenzi;
  • Kufuatilia utendaji kazi wa wakandarasi;
  • Kuchambua na kutoa mapendekezo ya madai ya malipo kutoka kwa wakandarasi;
  • Kukagua majengo na kuhakikisha ubora wake;
  • Kutoa hati kwa wakandarasi kwa kazi zilizokamilika kulingana na mikataba; na
  • Kusimamia uendeshaji wa warsha za Halmashauri.

    Sehemu hii itaongozwa na Afisa Mfawidhi.

1.3 Sehemu ya Barabara

Kitengo kitafanya shughuli zifuatazo:-

  • Kutoa ushauri kuhusu masuala yanayohusiana na utambuzi na uwekaji lami wa barabara mpya;
  • Kuchambua, kutafsiri na kusimamia utekelezaji wa sera, sheria na kanuni kwenye barabara za lami;
  • Kutengeneza barabara mpya katika ardhi iliyopimwa;
  • Kuandaa mikataba ya uwekaji lami wa barabara mpya;
  • Kutayarisha makadirio ya gharama za kuweka lami barabara;
  • Kufuatilia utendaji wa wakandarasi;
  • Kutoa hati kwa wakandarasi kwa kazi zilizokamilika kulingana na mikataba;
  • Kuchambua na kutoa mapendekezo ya madai ya malipo kutoka kwa wakandarasi;
  • Kukagua barabara za lami ili kuhakikisha ubora; na
  • Kusimamia ujenzi na matengenezo ya vituo vya mabasi.

  Sehemu hii itaongozwa na Afisa Mfawidhi.

1.4 Sehemu ya Maendeleo Vijijini na Mijini

Sehemu hii itafanya shughuli zifuatazo:-

  • Kusimamia maendeleo ya makazi vijijini na mijini kwa kushirikiana na Wizara yenye dhamana ya ardhi;
  • Kusimamia huduma za kimazingira na kijamii;
  • Kuongoza mipango ya maendeleo ya miji, makazi na matumizi endelevu ya ardhi;
  • Kusimamia na kuratibu usimamizi wa mambo ya kale na utalii;
  • Kusimamia mchakato wa ukuaji wa miji kwa kushirikiana na Wizara yenye dhamana ya ardhi;
  • Kuratibu na kukuza maendeleo ya miji inayochipukia kutoka vijiji hadi makazi ya mijini; na
  • Kushiriki katika kuwezesha utatuzi wa migogoro ya matumizi ya ardhi.

  Sehemu hii itaongozwa na Afisa Mfawidhi.


Matangazo

  • SHULE YA SEKONDARI NYASOSI YAPANDISHWA HADHI March 16, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA WATENDAJI WA VIJIJI February 23, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 - BARIADI DC December 14, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III March 02, 2023
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • TASAF YAENDELEA KUTEKELEZA MIRADI YA UJENZI BARIADI DC

    January 23, 2023
  • RUWASA SIMIYU YATIA SAINI MIKATABA YA UJENZI WA MIRADI YA MAJI KWA MWAKA WA FEDHA 2022/2023

    January 11, 2023
  • BALOZI WA PAMBA AMALIZA ZIARA BARIADI DC

    November 27, 2022
  • BALOZI WA PAMBA NCHINI AANZA ZIARA BARIADI DC

    November 26, 2022
  • Angalia Vyote

Video

Ukamilishaji wa Shughuli za Madawati
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matangazo
  • Habari
  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YAWILAYA BARIADI

Kurasa Husishi

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • Wizara ya Fedha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Bariadi

    Anuani: 109-Bariadi

    Simu: 028 2700012

    Simu: +255712431642

    Barua Pepe: info@bariadidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2019 Bariadi District Council . All rights reserved.