• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Bariadi District Council
Bariadi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi

  • Mwanzo
  • Huduma
    • Elimu
    • Teknolojia Habari na Mawasiliano
    • Maji
    • Miundombinu
    • Mapato
      • Mazao
      • Pamba
      • Zabuni
      • Minada
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Utawala
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Formu za Maombi
    • Bajeti
    • Vibali
    • Miungozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albamu za Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Endelevu
    • Uwekezaji

MATOKEO YA UHAKIKI WALENGWA ( TASAF) ZAGEUKA KUWA KERO KWA BAADHI YA WANANCHI

Posted on: July 4th, 2024


Baadhi ya wananchi kutopata ruzuku kupitia mpango wa kunusuru kaya maskini (TASAF) ni kati ya maswali yaliyoibuka jana katika ziara ya kusikiliza kero za wananchi iliyofanywa na Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Kenan Kihongosi katika Kata za Banemhi, Ikungulyabashashi na Mwadobana, Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi.


Katika kujibu kero hiyo Mratibu Wilaya TASAF Ndg. Marco Jagila alisema mwaka 2020-2021 kuna uhakiki ulifanyika kwa walengwa wote kwa vijiji 50. Inavyoonekana  walalamikaji hawakuwepo katika maeneo yao wakati uhakiki ukifanyika. Mwaka 2022 uhakiki ulifanyika tena kwa kaya zote na yule ambaye hayupo katika malipo kwa sasa, ni wazi kuwa  hakuhakikiwa, hakuwa na vigezo au kuwa mlengwa hewa.


Mratibu huyo amesema,kabla ya zoezi la uhakiki kuanza, taarifa zilikuwa zinatolewa kwa ngazi zote za serikali za vijiji,na hiyo ilisaidia kwa wahusika wote kupatikana na zoezi halikufanyika siku moja.


Awamu ya kwanza ya zoezi la kuhakiki walengwa ilianza mwaka 2019 na uhakiki wa mwisho ulifanyika mwezi Novemba 2023 na walengwa 86 hawakupatikana wakati wa uhakiki. Walengwa hao wameshatolewa katika mfumo wa malipo. Lengo la kuanza uhakiki lilikuwa kutoa tathimini ya walengwa kama wananufaika na mpango na kufahamu idadi kamili ya walengwa wa kweli.


#bariadidc

Matangazo

  • RIPOTI YA MGAWANYO WA IDADI YA WATU KWA UMRI NA JINSI February 13, 2024
  • Mwongozo wa Kitaifa wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 February 19, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji daftari la kudumu la mpiga kura. August 31, 2024
  • Tangazo la Shughuli ya Muda Mfupi kwaajili ya Uchaguzi September 17, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • Muonekano Halisi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana Simiyu

    May 31, 2025
  • ZIARA YA MIRADI YA MAENDELEO BARIADI DC

    May 30, 2025
  • Maafisa Elimu Kata na Wakuu wa Shule Wapatiwa Mafunzo ya Usimamizi wa Ufundishaji na Ujifunzaji Fanisi.

    May 30, 2025
  • DC BARIADI AONYA WANANCHI KUTOCHUNGIA MIFUGO KWENYE MAPORI YA AKIBA

    May 16, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Afisa Wanyamapori Wilaya ya Bariadi, akifafanua kwa undani Banuai ya Halmashauri Wilaya ya Bariadi
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matangazo
  • Habari
  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YAWILAYA BARIADI

Kurasa Husishi

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • Wizara ya Fedha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Bariadi

    Anuani: 109-Bariadi

    Simu: 028 2700012

    Simu: +255683705815

    Barua Pepe: info@bariadidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2019 Bariadi District Council . All rights reserved.