(Julai – Septemba 2025)
Kikao cha Kamati ya Lishe cha Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi kimefanyika Leo tarehe 24/11/2025 katika Ukumbi Mdogo wa Halmashauri, kikihusisha tathmini ya utekelezaji wa Mkataba wa Lishe kwa kipindi cha Julai hadi Septemba 2025.
Akizungumza wakati wa kikao hicho, Afisa Lishe wa Wilaya, Bi. Salama Shukia, alisema Halmashauri imeendelea kutekeleza Mkataba wa Lishe kwa kufuata miongozo ya kitaifa, sambamba na usimamizi wa karibu unaofanywa na Maafisa Watendaji wa Kata kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa sekta ya afya.
Bi. Shukia alieleza kuwa afua mbalimbali za lishe zimeendelea kutekelezwa kwa ufanisi katika ngazi ya jamii, lengo likiwa kuboresha afya na ustawi wa wananchi, hasa makundi yenye uhitaji mkubwa kama watoto na kina mama.
Aidha ameidhinisha afua za Lishe zilizotekelezwa Julai-Septemba 2025 ni pamoja na,
Bariadi
Anuani: 109-Bariadi
Simu: 028 2700012
Simu: +255683705815
Barua Pepe: info@bariadidc.go.tz
Copyright ©2019 Bariadi District Council . All rights reserved.