• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Bariadi District Council
Bariadi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi

  • Mwanzo
  • Huduma
    • Elimu
    • Teknolojia Habari na Mawasiliano
    • Maji
    • Miundombinu
    • Mapato
      • Mazao
      • Pamba
      • Zabuni
      • Minada
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Utawala
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Formu za Maombi
    • Bajeti
    • Vibali
    • Miungozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albamu za Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Endelevu
    • Uwekezaji

MRADI WA MAJI WA BILIONI 440 KUMALIZA CHANGAMOTO YA MAJI SIMIYU.

Posted on: January 10th, 2025

Mradi wa ujenzi wa Bomba la maji kutoka ziwa Victoria kuja mkoa wa Simiyu unatarajiwa kumaliza changamoto ya maji katika maeneo mengi ya Mkoa wa Simiyu.Akifafanua suala hilo wakati wa ziara ya kijiji kwa kijiji katika Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi Mhe.Kenani Kihongosi amefafanua kuwa mradi huo mkubwa upo katika hatua nzuri ya utekelezwaji ambapo kwa awamu ya kwanza mradi huo utatekelezwa Wilaya ya Busega, Bariadi na Itilima kisha Wilaya ya Maswa na Meatu.  

“Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan katika mkoa wenu huu wa Simiyu ametupatia fedha Bilioni 440 ziende kutoa maji ziwa victoria zisambaze mkoa mzima wa Simiyu. Katika Wilaya hii ya Bariadi tayari kuna matanki makubwa yanajengwa, Bariadi hapa kuna tanki la Lita Milioni 6 limejengwa na limekamilika,ukienda  Itilima kuna tanki la Milioni 10 na tanki la Milioni 12 kwahiyo hii kero ya maji mpaka Desemba mwaka huu maji yatakuwa yakutosha ndani ya Mkoa wa Simiyu.” alifafanua Mhe.Kihongosi

Ziara ya Mhe.Kihongosi katika Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi ni mwendelezo wa ziara yake kijiji kwa kijiji ili kusikiliza na kutatua kero za wananchi ambao mamia ya wananchi hao wamejitokeza ili kuwasilisha kero zao kwaajili ya kupatiwa ufumbuzi.

Matangazo

  • RIPOTI YA MGAWANYO WA IDADI YA WATU KWA UMRI NA JINSI February 13, 2024
  • Mwongozo wa Kitaifa wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 February 19, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji daftari la kudumu la mpiga kura. August 31, 2024
  • Tangazo la Shughuli ya Muda Mfupi kwaajili ya Uchaguzi September 17, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • Muonekano Halisi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana Simiyu

    May 31, 2025
  • ZIARA YA MIRADI YA MAENDELEO BARIADI DC

    May 30, 2025
  • Maafisa Elimu Kata na Wakuu wa Shule Wapatiwa Mafunzo ya Usimamizi wa Ufundishaji na Ujifunzaji Fanisi.

    May 30, 2025
  • DC BARIADI AONYA WANANCHI KUTOCHUNGIA MIFUGO KWENYE MAPORI YA AKIBA

    May 16, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Afisa Wanyamapori Wilaya ya Bariadi, akifafanua kwa undani Banuai ya Halmashauri Wilaya ya Bariadi
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matangazo
  • Habari
  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YAWILAYA BARIADI

Kurasa Husishi

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • Wizara ya Fedha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Bariadi

    Anuani: 109-Bariadi

    Simu: 028 2700012

    Simu: +255683705815

    Barua Pepe: info@bariadidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2019 Bariadi District Council . All rights reserved.