• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Bariadi District Council
Bariadi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi

  • Mwanzo
  • Huduma
    • Elimu
    • Teknolojia Habari na Mawasiliano
    • Maji
    • Miundombinu
    • Mapato
      • Mazao
      • Pamba
      • Zabuni
      • Minada
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Utawala
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Formu za Maombi
    • Bajeti
    • Vibali
    • Miungozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albamu za Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Endelevu
    • Uwekezaji

RAIS SAMIA AZINDUA SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA SIMIYU

Posted on: June 16th, 2025

Bariadi, 16 Juni 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza hafla ya uzinduzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana Simiyu iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi.


Katika ziara hiyo, Mhe. Rais alipata fursa ya kutembelea miundombinu mbalimbali ya shule hiyo ikiwemo bwalo la chakula, pamoja na kukagua mfumo wa gesi unaotumika katika majiko ya shule hiyo ya kisasa.


Shule hiyo ni sehemu ya mkakati wa kitaifa wa kuwekeza katika elimu ya mtoto wa kike, na imejengwa kwa lengo la kuongeza fursa za kielimu kwa wasichana, ikiwa ni hatua ya kukuza usawa wa kijinsia na kuwawezesha wanawake kijamii na kiuchumi.


Katika hotuba yake, Mhe. Rais alisisitiza dhamira ya Serikali katika kuendelea kuwekeza kwenye elimu bora, salama na jumuishi kwa watoto wote wa Tanzania.

Matangazo

  • RIPOTI YA MGAWANYO WA IDADI YA WATU KWA UMRI NA JINSI February 13, 2024
  • Mwongozo wa Kitaifa wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 February 19, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji daftari la kudumu la mpiga kura. August 31, 2024
  • Tangazo la Shughuli ya Muda Mfupi kwaajili ya Uchaguzi September 17, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • ‎‎ ‎ MRADI WA KITALU CHA MICHE 50,000 – Bariadi DC

    July 12, 2025
  • MRADI Wa MAJI BANHEMI WAKAMILIKA KWA MAFANIKIO!

    July 11, 2025
  • ‎UJENZI WA DARAJA LA KIDAMLIDA – KATA YA NKINDWABIYE ‎

    July 10, 2025
  • UJENZI WA MIUNDOMBINU YA KUDHIBITI TAKA HATARISHI WAKAMILIKA KIKAMILIFU

    July 10, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Afisa Wanyamapori Wilaya ya Bariadi, akifafanua kwa undani Banuai ya Halmashauri Wilaya ya Bariadi
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matangazo
  • Habari
  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YAWILAYA BARIADI

Kurasa Husishi

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • Wizara ya Fedha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Bariadi

    Anuani: 109-Bariadi

    Simu: 028 2700012

    Simu: +255683705815

    Barua Pepe: info@bariadidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2019 Bariadi District Council . All rights reserved.