• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Bariadi District Council
Bariadi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi

  • Mwanzo
  • Huduma
    • Elimu
    • Teknolojia Habari na Mawasiliano
    • Maji
    • Miundombinu
    • Mapato
      • Mazao
      • Pamba
      • Zabuni
      • Minada
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Utawala
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Formu za Maombi
    • Bajeti
    • Vibali
    • Miungozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albamu za Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Endelevu
    • Uwekezaji

UJENZI WA NYUMBA YA WALIMU WAENDELEA – Shule ya Msingi Senta, Bariadi DC ‎

Posted on: July 28th, 2025

‎

‎

‎Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi inaendelea kutekeleza mradi wa ujenzi wa nyumba ya walimu wawili (2-in-1) katika Shule ya Msingi Senta, iliyoko Kijiji cha Senta, Kata ya Masewa. Mradi huu umefikia hatua ya ukamilishaji kwa asilimia 95, ikiwa ni ishara ya jitihada madhubuti za kuboresha mazingira ya kufundishia na kuishi kwa walimu.

‎

‎Ujenzi huu unatekelezwa kwa kutumia fedha kutoka Serikali Kuu zilizopokelewa tarehe 03 Septemba 2024 kupitia Programu ya Global Partnership for Education – Teachers Support Program (GPE–TSP), kiasi cha shilingi milioni 100. Lengo kuu la GPE–TSP ni kuboresha ustawi wa walimu kwa kuwapatia makazi ya uhakika, jambo linalotarajiwa kuongeza ufanisi wao kazini na kuchochea matokeo bora ya elimu kwa wanafunzi.

‎

‎Kupitia mpango huu, walimu wa Shule ya Msingi Senta watanufaika kwa kuishi karibu na shule, hali itakayorahisisha utendaji wao wa kila siku na kukuza ari ya kufundisha.

‎

‎Katika mwaka wa fedha 2022/23 na 2023/24, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia programu mbalimbali kama BOOST na SEQUIP, imewezesha ujenzi wa nyumba 860 za walimu (shule za msingi na sekondari), zikinufaisha jumla ya familia 2,018. Aidha, kwa mwaka wa fedha 2024/25, Serikali imetenga fedha kwa ajili ya ujenzi wa nyumba 263 za walimu katika shule za msingi pekee.

‎

‎Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi inaendelea kushukuru Serikali kwa uwekezaji endelevu katika sekta ya elimu, hususan katika kuboresha mazingira ya kazi kwa walimu, ambao ni nguzo muhimu ya maendeleo ya elimu nchini.

‎

‎

‎

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA WASIMAMIZI WA VITUO, WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO NA MAKARANI WAONGOZAJI WA UCHAGUZI MKUU 2025 October 15, 2025
  • TAARIFA YA MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 February 19, 2024
  • KANUNI ZA MAADILI YA UCHAGUZI MKUU WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI ZA MWAKA 2025 April 18, 2025
  • RIPOTI YA MGAWANYO WA IDADI YA WATU KWA UMRI NA JINSI February 13, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA AKABIDHI TREKTA 26 KUANZA MSIMU MPYA WA KILIMO BARIADI

    October 13, 2025
  • KAMATI YA MIKOPO BARIADI YAFANYA UKAGUZI WA VIKUNDI VYA WANUFAIKA

    September 29, 2025
  • MAENDELEO YA MRADI WA UTUNZAJI WA MAZINGIRA – SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA MKOA WA SIMIYU

    September 10, 2025
  • MAENDELEO YA MRADI WA UJENZI WA BWENI NA UZIO – SHULE YA MSINGI IGAGANULWA

    September 03, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Afisa Wanyamapori Wilaya ya Bariadi, akifafanua kwa undani Banuai ya Halmashauri Wilaya ya Bariadi
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matangazo
  • Habari
  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YAWILAYA BARIADI

Kurasa Husishi

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • Wizara ya Fedha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Bariadi

    Anuani: 109-Bariadi

    Simu: 028 2700012

    Simu: +255683705815

    Barua Pepe: info@bariadidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2019 Bariadi District Council . All rights reserved.