• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Bariadi District Council
Bariadi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi

  • Mwanzo
  • Huduma
    • Elimu
    • Teknolojia Habari na Mawasiliano
    • Maji
    • Miundombinu
    • Mapato
      • Mazao
      • Pamba
      • Zabuni
      • Minada
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Utawala
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Formu za Maombi
    • Bajeti
    • Vibali
    • Miungozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albamu za Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Endelevu
    • Uwekezaji

WAFUGAJI WASISITIZWA KUJIANDAA NA CHANJO YA MIFUGO MACHI, 2025

Posted on: February 6th, 2025

Wafugaji katika Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi wamesisitizwa kujiandaa na chanjo ya mifugo inayotarajiwa kuanza Mwezi Machi mwaka huu ikiwa ni juhudi za Serikali kuhakikisha tija inapatikana katika sekta ya Mifugo.

                       Kaimu Mkurugenzi Bariadi DC Mhandisi.Wilbert Siogopi akifafanua kuhusu chanjo ya mifugo

Akizungumza katika Mkutano wa Baraza la Madiwani uliofanyika leo Februari 06, 2025 kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi Mhandisi Wilbert Siogopi ameeleza kuwa chanjo hiyo itahusisha ng'ombe, mbuzi, kondoo na kuku ikiwa na lengo la kukinga mifugo dhidi ya magonjwa ya homa ya mapafu kwa ng'ombe, sotoka kwa mbuzi na kondoo pamoja na Kideri kwa kuku.


Mhandisi Siogopi aliendelea kufafanua kuwa Serikali imetoa ruzuku katika upatikanaji wa chanjo hiyo hivyo gharama itapungua ambapo kwa ng'ombe mmoja chanjo itakuwa ni shilingi 500, Kwa mbuzi na kondoo mmoja itakuwa shilingi 300 na kwa kuku itakuwa ni bure badala ya shilingi 100 ya awali.

                   Waheshimiwa Madiwani (waliovaa kaunda suti) wakiwa katika mkutano wa Baraza la Madiwani

"Wizara itagharamia ununuzi wa chanjo na mgao wa chanjo hizo utafanyika katika Halmashauri zote kwa kuzingatia idadi ya mifugo katika Halmashauri husika,Mheshimiwa Mwenyekiti makusanyo yote yatafanyika kwa kupitia POS hivyo kila mdau anawajibu wa kufanikisha zoezi hili la kitaifa kwani ni zoezi la lazima na sio hiari" alisisitiza Kaimu Mkurugenzi huyo.

Matangazo

  • RIPOTI YA MGAWANYO WA IDADI YA WATU KWA UMRI NA JINSI February 13, 2024
  • Mwongozo wa Kitaifa wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 February 19, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji daftari la kudumu la mpiga kura. August 31, 2024
  • Tangazo la Shughuli ya Muda Mfupi kwaajili ya Uchaguzi September 17, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • MATUKIO YA UPIMAJI ARDHI YAKIWASILISHA NEEMA MPYA KWA WAKAZI WA BARIADI

    June 23, 2025
  • MIPAKA ILIYOPIGWA MARUFUKU KUTOLEWA HATI MILIKI YABAINISWA RASMI

    June 23, 2025
  • SAFARI YA PAMOJA BARIADI

    June 21, 2025
  • Mkuu wa Wilaya Atoa Pongezi kwa Baraza la Madiwani Bariadi kwa Uadilifu na Uwajibikaji wa Hali ya Juu

    June 21, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Afisa Wanyamapori Wilaya ya Bariadi, akifafanua kwa undani Banuai ya Halmashauri Wilaya ya Bariadi
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matangazo
  • Habari
  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YAWILAYA BARIADI

Kurasa Husishi

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • Wizara ya Fedha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Bariadi

    Anuani: 109-Bariadi

    Simu: 028 2700012

    Simu: +255683705815

    Barua Pepe: info@bariadidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2019 Bariadi District Council . All rights reserved.