Posted on: September 3rd, 2025
Mradi wa ujenzi wa bweni lenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 80 pamoja na uzio katika Shule ya Msingi Igaganulwa, Kata ya Dutwa, umekamilika kwa gharama ya Tsh.milioni 198 kupitia fedha za Serikali Kuu....
Posted on: September 1st, 2025
Kikundi cha Vijana Wachapakazi kutoka Kijiji cha Banemhi, Kata ya Banemhi, kimeendelea kuonyesha mafanikio makubwa tangu kuanzishwa kwake mwaka 2022.
Kikundi hiki chenye wanachama sita (wote wanaum...
Posted on: August 26th, 2025
Mradi wa ujenzi wa Nyumba ya Kulala Wageni – Nigo Lodge wenye thamani ya shilingi milioni 320 umeendelea kuwa chachu ya maendeleo kijamii na kiuchumi katika Kata ya Dutwa, Halmashauri ya Wilaya ya Bar...