• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Bariadi District Council
Bariadi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi

  • Mwanzo
  • Huduma
    • Elimu
    • Teknolojia Habari na Mawasiliano
    • Maji
    • Miundombinu
    • Mapato
      • Mazao
      • Pamba
      • Zabuni
      • Minada
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Utawala
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Formu za Maombi
    • Bajeti
    • Vibali
    • Miungozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albamu za Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Endelevu
    • Uwekezaji

BARIADI DC YAPONGEZWA KWA KUFIKIA VIGEZO VYA UFAULU (KPI)

Posted on: July 22nd, 2025

‎Tarehe 21 Julai 2025, ukumbi mdogo wa Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi ulilipuka kwa shangwe na vigelegele vya “Kata keki tule!” baada ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo, Ndg. Halidi M. Mbwana, alipokabidhiwa Tuzo ya Pongezi kutoka Ofisi ya Rais – TAMISEMI na Kaimu Afisa Elimu Sekondari, Mwl. Mary Makwale.

‎

‎Tuzo hiyo imetolewa kwa Kutimiza Kigezo Kilichokubalika (KPI) cha ufaulu katika Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Nne 2024, ambapo Bariadi DC imefanikiwa kuingia kwenye kumi bora kitaifa, jambo ambalo halikuwezekana mwaka 2023.

‎

‎Mkurugenzi huyo alisema mbele ya   Menejimenti ya Ushauri ya Halmashauri  kuwa tukio  ni matokeo ya ushirikiano imara, ufuatiliaji wa karibu na uwekezaji mkubwa katika sekta ya elimu.

‎

‎“Hii ni hatua ya kujivunia kwa Bariadi. Tumetoka mbali, na sasa tunavuna matunda ya kazi ya pamoja,” alisema Ndg. Mbwana mara baada ya kupokea tuzo hiyo.

‎

‎Tuzo hii si tu ishara ya mafanikio ya sasa, bali ni chachu ya kuendeleza jitihada za kuboresha elimu kwa manufaa ya wanafunzi na jamii kwa ujumla.

‎

‎KPI (Key Performance Indicator) ni tathmini iliyoanzishwa na Ofisi ya Rais – TAMISEMI, lengo likiwa kupima na kuonyesha jinsi Halmashauri zinavyofikia malengo muhimu katika kuongeza uwezo wa wanafunzi na ufaulu. Pia, mashirika hutumia KPI kutathmini mafanikio yao katika kufikia malengo.

‎

‎---

‎

‎#BariadiInang’ara #KPI2024 #ElimuBora #KataKekiTule #TuzoYaUfahulu

‎

‎

‎

Matangazo

  • RIPOTI YA MGAWANYO WA IDADI YA WATU KWA UMRI NA JINSI February 13, 2024
  • Mwongozo wa Kitaifa wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 February 19, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji daftari la kudumu la mpiga kura. August 31, 2024
  • Tangazo la Shughuli ya Muda Mfupi kwaajili ya Uchaguzi September 17, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • MAENDELEO YA MRADI WA UJENZI WA BWENI NA UZIO – SHULE YA MSINGI IGAGANULWA

    September 03, 2025
  • Vijana Wachapakazi Banemhi Wafanikiwa Kupitia Mradi wa Bodaboda

    September 01, 2025
  • Nigo Lodge – Nguzo ya Maendeleo Igaganulwa, Bariadi

    August 26, 2025
  • MRADI WA MAJI SAPIWI WAZINDULIWA RASMI NA MWENGE WA UHURU 2025

    August 19, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Afisa Wanyamapori Wilaya ya Bariadi, akifafanua kwa undani Banuai ya Halmashauri Wilaya ya Bariadi
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matangazo
  • Habari
  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YAWILAYA BARIADI

Kurasa Husishi

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • Wizara ya Fedha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Bariadi

    Anuani: 109-Bariadi

    Simu: 028 2700012

    Simu: +255683705815

    Barua Pepe: info@bariadidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2019 Bariadi District Council . All rights reserved.