• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Bariadi District Council
Bariadi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi

  • Mwanzo
  • Huduma
    • Elimu
    • Teknolojia Habari na Mawasiliano
    • Maji
    • Miundombinu
    • Mapato
      • Mazao
      • Pamba
      • Zabuni
      • Minada
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Utawala
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Formu za Maombi
    • Bajeti
    • Vibali
    • Miungozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albamu za Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Endelevu
    • Uwekezaji

DC BARIADI AFANYA KIKAO NA VIKOSI KAZI VYA PAMBA VYA KATA ZOTE

Posted on: May 11th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Bariadi Mh. Simon Simalenga leo Mei 11 amefanya kikao na wajumbe wa vikosi kazi wa zao la Pamba vinavyojumuisha Waheshimiwa Madiwani, Watendaji wa Kata, Maafisa Elimu kata, Maafisa Ugani, Watendaji wa Vijiji pamoja na Makatibu wa Amcos.

Mh.Simalenga alibainisha kuwa lengo la kikao kazi hicho ni kujadili na kupeana maelekezo mbalimbali ambayo yatasaidia katika usimamizi wa ununuzi Pamba ambao utaanza rasmi hivi karibuni.

Baadhi ya wajumbe waliohudhuria kikao kazi cha Mkuu wa Wilaya ya Bariadi

Miongoni mwa mambo ambayo Mh. Simalenga amesema yatafanyika katika msimu huu wa pamba katika Wilaya ya Bariadi ni pamoja na uhakiki na ukaguzi wa mizani mara kwa mara, uwekaji wa vizuizi vya ukaguzi wa pamba katika maeneo yote muhimu, kuzuia pamba kusafirishwa nyakati za usiku pamoja na kubainishwa kwa magari yote ambayo yatahusika na usafirishaji wa pamba ili kuepuka utoroshwaji unaofanywa na baadhi ya wanunuzi.

Aidha Mh. Simalenga amewaonya wanunuzi wote kutonunua Pamba chini ya bei iliyoelekezwa, kutowakopa wakulima na kutojihusisha na tabia za utoroshaji wa pamba kwani kufanya hivyo ni makosa kisheria na kamwe haitoivumilia kampuni yoyote itakayofanya vitendo hivyo.

Matangazo

  • MAJINA YA WALIOITWA KAZINI May 24, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA WATENDAJI WA VIJIJI February 23, 2023
  • SHULE YA SEKONDARI NYASOSI YAPANDISHWA HADHI March 16, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2023 - BARIADI DC December 14, 2022
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • MKOA WA SIMIYU WAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI

    May 19, 2023
  • DC BARIADI AFANYA KIKAO NA VIKOSI KAZI VYA PAMBA VYA KATA ZOTE

    May 11, 2023
  • WADAU KUTOKA KATA 09 ZA BARIADI DC WAJENGEWA UWEZO JUU YA UTEKELEZAJI WA MRADI WA BOOST

    May 02, 2023
  • KAMATI YA UCHUMI, UJENZI NA MAZINGIRA YATEMBELEA MIRADI YA JOSHO NA KIKUNDI CHA KILIMO CHA UMWAGILIAJI

    April 13, 2023
  • Angalia Vyote

Video

Ukamilishaji wa Shughuli za Madawati
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matangazo
  • Habari
  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YAWILAYA BARIADI

Kurasa Husishi

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • Wizara ya Fedha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Bariadi

    Anuani: 109-Bariadi

    Simu: 028 2700012

    Simu: +255712431642

    Barua Pepe: info@bariadidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2019 Bariadi District Council . All rights reserved.