• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Bariadi District Council
Bariadi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi

  • Mwanzo
  • Huduma
    • Elimu
    • Teknolojia Habari na Mawasiliano
    • Maji
    • Miundombinu
    • Mapato
      • Mazao
      • Pamba
      • Zabuni
      • Minada
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Utawala
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Formu za Maombi
    • Bajeti
    • Vibali
    • Miungozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albamu za Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Endelevu
    • Uwekezaji

DC BARIADI AKUMBUSHIA KUHUSU MATUMIZI YA TREKTA NA KUTOA OLE JUU YA UGAWAJI WA MBEGU ZA PAMBA.

Posted on: October 31st, 2024


"Serikali ya Tanzania kupitia Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kupitia Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe alitoa ahadi kwamba Mhe. Rais analeta Trekta zaidi ya mia nne kwa ajili ya kuwasaidia wakulima wa pamba pamoja na mazao mengine, ili kulima kwa bei nafuu. Maelekezo yamekuja kwamba kwa heka moja trekta litatakiwa kumlimia mwananchi kwa kiasi kisichozidi tsh 35,000."  Mhe. Simon P. Simalenga.


Haya yalisemwa na Mkuu wa Wilaya ya Bariadi Mhe. Simon P. Simalenga,Jana tarehe 30/10/2024 kwenye kikao cha Baraza la Madiwani kilichofanyika Makao Makuu ya Halmashauri ya Wilaya, Isenge Dutwa. Amesema trekta yaliyopokelewa wilaya ya Bariadi ni 30 na kila Kata imekabithiwa trekta moja ambalo litasimamiwa na mwakilishi kutoka Bodi ya Pamba ya Wilaya.


Aidha ameongeza kuwa Bodi ya Pamba itaongeza matrekta mengine 10 na idadi kuwa trekta 40 kwa wilaya ya Bariadi, hivyo wakati matrekta hayo yakifika, viongozi wote wa Wilaya wa ngazi zote za Chama cha Mapinduzi na Serikali washirikishwe katika Mapokezi na Makabidhiano hayo.


Pia amesisitiza  kuwa, kwa kuwa ugawaji wa Mbegu za Pamba umeshaanza maagizo ya Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. Kenan Kihongosi kuhusu kutokugawa mbegu kwa mtu asiye na shamba au ambaye hajajiandikisha kwenye Daftari la Wakulima yanapaswa kuzingatiwa.Haitarajiwi mwaka huu kusikika kuwa kuna wananchi hawajalima pamba ila wamepewa mbegu za pamba na dawa kisha wanaziuza halafu uwiano wa mbegu na dawa zilizotolewa ukilinganisha na mavuno visiwe sawa itapelekea wahusika kuwajibishwa.


Mhe. Simon P. Simalenga alimalizia kwa kuwasihi Madiwani kuwa wanapaswa kutojihusisha kabisa na ugawaji wa mbegu za pamba na dawa za kuuwa wadudu.


Kwanzia mwanzo wa Mwezi Octoba Halmashauri imeshapokea Tani 1400 za mbegu ya pamba  aina ya " UKM 08 iliyonyonyolewa manyoya (delented)",na inaendelea kusambazwa maeneo mbalimbali kwa ajili ya kuanza msimu wa kilimo cha pamba tarehe 15/11/2024.



Matangazo

  • RIPOTI YA MGAWANYO WA IDADI YA WATU KWA UMRI NA JINSI February 13, 2024
  • Mwongozo wa Kitaifa wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 February 19, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji daftari la kudumu la mpiga kura. August 31, 2024
  • Tangazo la Shughuli ya Muda Mfupi kwaajili ya Uchaguzi September 17, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • Muonekano Halisi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana Simiyu

    May 31, 2025
  • ZIARA YA MIRADI YA MAENDELEO BARIADI DC

    May 30, 2025
  • Maafisa Elimu Kata na Wakuu wa Shule Wapatiwa Mafunzo ya Usimamizi wa Ufundishaji na Ujifunzaji Fanisi.

    May 30, 2025
  • DC BARIADI AONYA WANANCHI KUTOCHUNGIA MIFUGO KWENYE MAPORI YA AKIBA

    May 16, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Afisa Wanyamapori Wilaya ya Bariadi, akifafanua kwa undani Banuai ya Halmashauri Wilaya ya Bariadi
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matangazo
  • Habari
  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YAWILAYA BARIADI

Kurasa Husishi

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • Wizara ya Fedha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Bariadi

    Anuani: 109-Bariadi

    Simu: 028 2700012

    Simu: +255683705815

    Barua Pepe: info@bariadidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2019 Bariadi District Council . All rights reserved.