• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Bariadi District Council
Bariadi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi

  • Mwanzo
  • Huduma
    • Elimu
    • Teknolojia Habari na Mawasiliano
    • Maji
    • Miundombinu
    • Mapato
      • Mazao
      • Pamba
      • Zabuni
      • Minada
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Utawala
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Formu za Maombi
    • Bajeti
    • Vibali
    • Miungozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albamu za Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Endelevu
    • Uwekezaji

KAMATI YA MIKOPO BARIADI YAFANYA UKAGUZI WA VIKUNDI VYA WANUFAIKA

Posted on: September 29th, 2025

Kamati ya Mikopo ya Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi, leo tarehe 29 Septemba 2025, imefanya ukaguzi wa vikundi mbalimbali vilivyoomba na kunufaika na mikopo ya asilimia 10 ya mapato ya ndani yasiyolindwa ya Halmashauri.

Miongoni mwa vikundi vilivyotembelewa ni:

  • Kikundi cha “Jitume Mwantimba” – kinachojishughulisha na huduma za upishi, ukodishaji wa viti na vyombo.
  • Kikundi cha “Elimika Masewa” – kinachojihusisha na ufugaji wa mbuzi na kondoo.

Aidha, Kamati pia ilitembelea watu wenye mahitaji maalumu akiwemo Tereza Mbogo Mayuma wa Kata ya Sapiwi anayejishughulisha na huduma ya chakula, pamoja na Kikundi cha “Walemavu Kwanza Ikungulyabashashi” ambapo baadhi ya wanachama wanajihusisha na upigaji picha, ukodishaji wa viti na biashara ya mifugo.

Hadi sasa, Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi imetoa jumla ya Tsh. milioni 259.02, sawa na asilimia 10 ya mapato ya ndani yasiyolindwa. Fedha hizo zimenufaisha vikundi 31, vikiwemo:

  • Vikundi 19 vya wanawake
  • Vikundi 9 vya vijana
  • Vikundi 3 vya watu wenye mahitaji maalumu

Kwa mujibu wa Afisa Maendeleo ya Jamii, Bi. Amina Mwaka, hatua hii inaendelea kuimarisha utekelezaji wa sera ya Serikali ya kuwezesha wananchi kiuchumi kupitia mikopo yenye masharti nafuu.

Matangazo

  • RIPOTI YA MGAWANYO WA IDADI YA WATU KWA UMRI NA JINSI February 13, 2024
  • Mwongozo wa Kitaifa wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 February 19, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji daftari la kudumu la mpiga kura. August 31, 2024
  • Tangazo la Shughuli ya Muda Mfupi kwaajili ya Uchaguzi September 17, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA AKABIDHI TREKTA 26 KUANZA MSIMU MPYA WA KILIMO BARIADI

    October 13, 2025
  • KAMATI YA MIKOPO BARIADI YAFANYA UKAGUZI WA VIKUNDI VYA WANUFAIKA

    September 29, 2025
  • MAENDELEO YA MRADI WA UTUNZAJI WA MAZINGIRA – SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA MKOA WA SIMIYU

    September 10, 2025
  • MAENDELEO YA MRADI WA UJENZI WA BWENI NA UZIO – SHULE YA MSINGI IGAGANULWA

    September 03, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Afisa Wanyamapori Wilaya ya Bariadi, akifafanua kwa undani Banuai ya Halmashauri Wilaya ya Bariadi
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matangazo
  • Habari
  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YAWILAYA BARIADI

Kurasa Husishi

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • Wizara ya Fedha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Bariadi

    Anuani: 109-Bariadi

    Simu: 028 2700012

    Simu: +255683705815

    Barua Pepe: info@bariadidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2019 Bariadi District Council . All rights reserved.