• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Bariadi District Council
Bariadi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi

  • Mwanzo
  • Huduma
    • Elimu
    • Teknolojia Habari na Mawasiliano
    • Maji
    • Miundombinu
    • Mapato
      • Mazao
      • Pamba
      • Zabuni
      • Minada
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Utawala
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Formu za Maombi
    • Bajeti
    • Vibali
    • Miungozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albamu za Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Endelevu
    • Uwekezaji

MKUU WA WILAYA AKABIDHI TREKTA 26 KUANZA MSIMU MPYA WA KILIMO BARIADI

Posted on: October 13th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Bariadi, Mhe. Simon P. Simalenga, leo tarehe 13 Oktoba 2025, amekabidhi jumla ya trekta 26 kwa waendeshaji (opereta) wa wilaya hiyo kwa ajili ya kuanza msimu mpya wa kilimo wa mwaka 2025/2026.

Hafla hiyo imefanyika katika Mtaa wa Nyasosi, ndani ya Halmashauri ya Mji Bariadi, ambapo Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi kupitia Bodi ya Pamba Tanzania (TCB) imepokea trekta 21 zitakazogawanywa katika kila Kata ili kusaidia kulima mashamba ya wakulima wa pamba.

Kupitia mpango huo, wakulima watatozwa gharama ya Shilingi 35,000 tu kwa ekari moja, ambapo sehemu ya gharama nyingine inalipwa na Serikali kama ruzuku kwa lengo la kuongeza tija katika uzalishaji wa pamba.

Akizungumza wakati wa makabidhiano, Mhe. Simalenga alisema Serikali inaendelea kuweka mazingira rafiki ya kilimo ili kuhakikisha wakulima wananufaika zaidi na sekta hiyo muhimu kwa uchumi wa wilaya.

“Tunataka kuona kila mkulima ananufaika na kazi yake. Serikali imeleta trekta hizi ili kupunguza gharama za uzalishaji na kuongeza kipato cha wakulima wetu,” alisema Mhe. Simalenga.

Hatua hii ni sehemu ya jitihada za Serikali kupitia Bodi ya Pamba Tanzania kuimarisha kilimo cha pamba, kuongeza uzalishaji, na kuinua uchumi wa wananchi wa Bariadi na Mkoa wa Simiyu kwa ujumla.

#BariadiYajitegemea #KilimoBora #PambaNiDhahabu #DCBariadi #Simiyu

Matangazo

  • RIPOTI YA MGAWANYO WA IDADI YA WATU KWA UMRI NA JINSI February 13, 2024
  • Mwongozo wa Kitaifa wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 February 19, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji daftari la kudumu la mpiga kura. August 31, 2024
  • Tangazo la Shughuli ya Muda Mfupi kwaajili ya Uchaguzi September 17, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA AKABIDHI TREKTA 26 KUANZA MSIMU MPYA WA KILIMO BARIADI

    October 13, 2025
  • KAMATI YA MIKOPO BARIADI YAFANYA UKAGUZI WA VIKUNDI VYA WANUFAIKA

    September 29, 2025
  • MAENDELEO YA MRADI WA UTUNZAJI WA MAZINGIRA – SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA MKOA WA SIMIYU

    September 10, 2025
  • MAENDELEO YA MRADI WA UJENZI WA BWENI NA UZIO – SHULE YA MSINGI IGAGANULWA

    September 03, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Afisa Wanyamapori Wilaya ya Bariadi, akifafanua kwa undani Banuai ya Halmashauri Wilaya ya Bariadi
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matangazo
  • Habari
  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YAWILAYA BARIADI

Kurasa Husishi

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • Wizara ya Fedha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Bariadi

    Anuani: 109-Bariadi

    Simu: 028 2700012

    Simu: +255683705815

    Barua Pepe: info@bariadidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2019 Bariadi District Council . All rights reserved.