• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Bariadi District Council
Bariadi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi

  • Mwanzo
  • Huduma
    • Elimu
    • Teknolojia Habari na Mawasiliano
    • Maji
    • Miundombinu
    • Mapato
      • Mazao
      • Pamba
      • Zabuni
      • Minada
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Utawala
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Formu za Maombi
    • Bajeti
    • Vibali
    • Miungozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albamu za Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Endelevu
    • Uwekezaji

KUPUNGUZA KASI YA UTAPIAMLO NA UMASKINI WANANCHI WAHASWA KUTUMIA VYAKULA MCHANGANYIKO

Posted on: October 31st, 2024

Pamoja na maendeleo yote ambayo nchi yetu imeyafikia, katika Afya, Elimu na Uchumi bado kuna Utapiamlo unaoendelea kuadhiri jamii ya Tanzania na hivyo kusababisha kasi ya kupunguza umaskini nchini kuwa hafifu na yakutokuridhisha.Haya aliyasema Afisa Tarafa ya Dutwa, Bi. Isabella Nyaulingo aliyekuwa akimwakilisha mgeni rasmi (Mkuu wa Wilaya ya Bariadi) katika Maadhimisho Siku ya Lishe Kitaifa yaliyofanyika uwanja wa CCM Dutwa, Wilaya ya Bariadi, tarehe 30/10/2024.



Bi. Nyaulingo alisema zaidi ya kuadhiri maendeleo ya ukuaji mwili wa mtoto,lishe duni huadhiri maendeleo ya ukuaji akili, kielimu na ubunifu wake akiwa mtu mzima.Pia hali hii huadhiri maendeleo yake binafsi na taifa kwa ujumla.


Aidha alisema tafiti mbalimbali kutoka shirika la afya duniani ( WHO)  zinaonyesha watoto wenye Utapiamlo Mkali wako kwenye hatari kubwa ya kupoteza maisha mara 5 hadi 20 zaidi ya watoto wenye lishe nzuri.Tatizo la utapiamlo ni moja kati ya matatizo ya lishe yanayochangia magonjwa na vifo vingi kwa watoto walio chini ya miaka mitano nchini.


" Licha ya Serikali kushirikisha Wadau  mbalimbali bado tatizo hili linapungua kwa kiwango kidogo hasa kwa watoto, kwa viashiria vya udumavu na pungufu wa uzito ukilinganisha na mwaka 2022.Katika Mkoa wetu udumavu ni 33%,upungufu wa uzito ni 11%, watoto kupungukiwa damu ni 28%, upungufu wa damu kwa kina mama wajawazito ni 20% na hii ni kutokana na takwimu alizotoa Afisa Lishe, hivyo hali bado si nzuri" Aliongeza Afasa Tarafa huyo.


Ameongeza kuwa kutokana na kuwepo utapiamlo,mkoa wa Simiyu umeendelea kutoa elimu kutokana na tatizo hilo na hata maadhimisho hayo yameandaliwa ili kuwakumbusha wananchi faida inayotokana kwa kula vyakula mchanganyiko.Aidha kupitia maadhimisho hayo amewahasa wananchi katika familia kutumia vyakula mchanganyiko ili kuepukana na utapiamlo na magonjwa yasiyoambukiza.


Ili kupunguza utapiamlo halmashauri ya wilaya ya Bariadi imekua ikitoa elimu kupitia vituo vya kutoa huduma ambavyo ni Zahanati, Vituo vya Afya na Hospitali, kufanya maadhimisho ya Siku ya Afya na Lishe ya Kijiji ( SALIKI) na kutoa Elimu kupitia Wahudumu wa Afya ngazi ya jamii (HW).



Matangazo

  • RIPOTI YA MGAWANYO WA IDADI YA WATU KWA UMRI NA JINSI February 13, 2024
  • Mwongozo wa Kitaifa wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 February 19, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji daftari la kudumu la mpiga kura. August 31, 2024
  • Tangazo la Shughuli ya Muda Mfupi kwaajili ya Uchaguzi September 17, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • BARIADI DC KUANZA KUTOA DOZI YA PILI YA CHANJO YA SINDANO YA POLIO (IPV2) KUANZIA MEI 2025

    April 30, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAPEWA MAFUNZO KWAAJILI YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI

    April 29, 2025
  • MWENYEKITI WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI AONGOZA KIKAO CHA KUJIRIDHISHA JUU YA MAOMBI YA KUGAWA JIMBO LA BARIADI

    April 24, 2025
  • DC BARIADI ONGOZA MDAHALO IKIWA NI MAADHIMISHO YA SIKU YA MUUNGANO

    April 26, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Afisa Wanyamapori Wilaya ya Bariadi, akifafanua kwa undani Banuai ya Halmashauri Wilaya ya Bariadi
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matangazo
  • Habari
  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YAWILAYA BARIADI

Kurasa Husishi

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • Wizara ya Fedha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Bariadi

    Anuani: 109-Bariadi

    Simu: 028 2700012

    Simu: +255683705815

    Barua Pepe: info@bariadidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2019 Bariadi District Council . All rights reserved.