• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Bariadi District Council
Bariadi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi

  • Mwanzo
  • Huduma
    • Elimu
    • Teknolojia Habari na Mawasiliano
    • Maji
    • Miundombinu
    • Mapato
      • Mazao
      • Pamba
      • Zabuni
      • Minada
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Utawala
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Formu za Maombi
    • Bajeti
    • Vibali
    • Miungozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albamu za Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Endelevu
    • Uwekezaji

BARIADI YAJIPANGA KWA KISHINDO KUPOKEA MWENGE WA UHURU 2025

Posted on: July 21st, 2025

‎Bariadi, 21 Julai 2025 – Mwenyekiti wa Kamati ya Mwenge wa Uhuru Wilaya ya Bariadi, Mhe. Simalenga, ameongoza kikao muhimu cha kupanga mikakati ya mapokezi na maandalizi ya Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2025.

‎

‎Kikao hicho kimefanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi na kuhudhuriwa na Katibu Tawala wa Wilaya, Ndg. Justine J. Manko, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri (ambaye pia ni Katibu wa Kamati), Ndg. Halidi M. Mbwana, pamoja na wajumbe wa Kamati ya Usalama ya Wilaya, na wataalamu kutoka taasisi mbalimbali za serikali ndani ya Halmashauri.

‎

‎Lengo kuu la kikao hicho ni kuhakikisha maandalizi yanafanyika kwa wakati na kwa ufanisi, ikiwa ni pamoja na uteuzi wa miradi ya maendeleo itakayopitiwa na Mwenge, uhamasishaji wa wananchi, na masuala ya kiusalama.

‎

‎"Tuna dhamira ya kuendeleza rekodi nzuri ya Mkoa wetu wa Simiyu, ambao mwaka 2024 ulifanikiwa kushika nafasi ya tatu kitaifa katika mapokezi ya Mwenge wa Uhuru," alisisitiza Mhe. Simalenga.

‎

‎Mwenge Mwenge wa Uhuru unatarajiwa kuingia Wilaya ya Bariadi katika tarehe 13/08/2025 kama ilivyopangwa na  Ofisi ya Waziri Mkuu -Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), na wananchi wote wanahimizwa kushiriki kikamilifu katika maandalizi na mapokezi hayo kama ishara ya uzalendo na mshikamano wa kitaifa.

‎

‎

‎

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA WASIMAMIZI WA VITUO, WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO NA MAKARANI WAONGOZAJI WA UCHAGUZI MKUU 2025 October 15, 2025
  • TAARIFA YA MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 February 19, 2024
  • KANUNI ZA MAADILI YA UCHAGUZI MKUU WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI ZA MWAKA 2025 April 18, 2025
  • RIPOTI YA MGAWANYO WA IDADI YA WATU KWA UMRI NA JINSI February 13, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA AKABIDHI TREKTA 26 KUANZA MSIMU MPYA WA KILIMO BARIADI

    October 13, 2025
  • KAMATI YA MIKOPO BARIADI YAFANYA UKAGUZI WA VIKUNDI VYA WANUFAIKA

    September 29, 2025
  • MAENDELEO YA MRADI WA UTUNZAJI WA MAZINGIRA – SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA MKOA WA SIMIYU

    September 10, 2025
  • MAENDELEO YA MRADI WA UJENZI WA BWENI NA UZIO – SHULE YA MSINGI IGAGANULWA

    September 03, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Afisa Wanyamapori Wilaya ya Bariadi, akifafanua kwa undani Banuai ya Halmashauri Wilaya ya Bariadi
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matangazo
  • Habari
  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YAWILAYA BARIADI

Kurasa Husishi

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • Wizara ya Fedha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Bariadi

    Anuani: 109-Bariadi

    Simu: 028 2700012

    Simu: +255683705815

    Barua Pepe: info@bariadidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2019 Bariadi District Council . All rights reserved.