• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Bariadi District Council
Bariadi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi

  • Mwanzo
  • Huduma
    • Elimu
    • Teknolojia Habari na Mawasiliano
    • Maji
    • Miundombinu
    • Mapato
      • Mazao
      • Pamba
      • Zabuni
      • Minada
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Utawala
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Formu za Maombi
    • Bajeti
    • Vibali
    • Miungozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albamu za Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Endelevu
    • Uwekezaji

MAFUNZO YA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA (ARO KATA) YAHITIMISHWA RASMI WILAYANI BARIADI

Posted on: August 6th, 2025

Bariadi, 06 Agosti 2025

Mafunzo ya siku tatu kwa Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya Kata (ARO Kata) kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 yamehitimishwa rasmi katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi.

Akizungumza wakati wa kufunga mafunzo hayo, aliyekuwa Mwenyekiti wa Mafunzo, Ndg. Lameck Mkililia (ARO Kata – Masewa), aliwashukuru ARO wote kwa ushirikiano na kujituma kwao kuanzia siku ya kwanza hadi mwisho wa mafunzo.

“Nawapongeza kwa moyo wa kujitolea, kujifunza na kushirikiana katika kipindi chote cha mafunzo. Ushirikiano huu ndiyo msingi wa ufanisi katika kusimamia uchaguzi kwa haki na amani,” alisema Ndg. Mkililia.

Wakati wa mafunzo, Wawezeshaji kutoka Halmashauri waliwakumbusha ARO Kata kuendelea kujisomea Kanuni za Uchaguzi, Mwongozo wa Wasimamizi, na kuzingatia misingi ya uadilifu ili kuepuka migogoro, manyanyaso au uvunjifu wa sheria katika kipindi chote kuelekea na wakati wa uchaguzi.

Mafunzo hayo yalilenga kuwawezesha ARO Kata kutekeleza majukumu yao kwa weledi, kuanzia maandalizi ya vituo, usimamizi wa upigaji kura hadi uhakiki wa matokeo.

“Tunategemea kuona uchaguzi wa haki, huru na wa kuaminika. Ninyi mna nafasi kubwa ya kuhakikisha hilo linatimia,” aliongeza mmoja wa Wawezeshaji.

Mafunzo yalifanyika kwa siku tatu mfululizo kuanzia tarehe 4 hadi 6 Agosti 2025, yakihusisha mada mbalimbali za kiutendaji na mazoezi kwa vitendo.

 Mwisho

Imetolewa na:
Kitengo cha Habari na Mawasiliano
Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA WASIMAMIZI WA VITUO, WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO NA MAKARANI WAONGOZAJI WA UCHAGUZI MKUU 2025 October 15, 2025
  • TAARIFA YA MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 February 19, 2024
  • KANUNI ZA MAADILI YA UCHAGUZI MKUU WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI ZA MWAKA 2025 April 18, 2025
  • RIPOTI YA MGAWANYO WA IDADI YA WATU KWA UMRI NA JINSI February 13, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA AKABIDHI TREKTA 26 KUANZA MSIMU MPYA WA KILIMO BARIADI

    October 13, 2025
  • KAMATI YA MIKOPO BARIADI YAFANYA UKAGUZI WA VIKUNDI VYA WANUFAIKA

    September 29, 2025
  • MAENDELEO YA MRADI WA UTUNZAJI WA MAZINGIRA – SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA MKOA WA SIMIYU

    September 10, 2025
  • MAENDELEO YA MRADI WA UJENZI WA BWENI NA UZIO – SHULE YA MSINGI IGAGANULWA

    September 03, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Afisa Wanyamapori Wilaya ya Bariadi, akifafanua kwa undani Banuai ya Halmashauri Wilaya ya Bariadi
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matangazo
  • Habari
  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YAWILAYA BARIADI

Kurasa Husishi

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • Wizara ya Fedha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Bariadi

    Anuani: 109-Bariadi

    Simu: 028 2700012

    Simu: +255683705815

    Barua Pepe: info@bariadidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2019 Bariadi District Council . All rights reserved.