• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Bariadi District Council
Bariadi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi

  • Mwanzo
  • Huduma
    • Elimu
    • Teknolojia Habari na Mawasiliano
    • Maji
    • Miundombinu
    • Mapato
      • Mazao
      • Pamba
      • Zabuni
      • Minada
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Utawala
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Formu za Maombi
    • Bajeti
    • Vibali
    • Miungozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albamu za Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Endelevu
    • Uwekezaji

MPANGO WA KUONDOA MIGOGORO YA ARDHI KUANZA HALMASHAURI YA WILAYA YA BARIADI

Posted on: May 16th, 2024


Akiwasilisha taarifa jana ndani ya ukumbi wa Bariadi Conference, mkoani Simiyu, Afisa Mipango Miji, Wizara ya Ardhi, Ndg Paulo Kitosi alisema, mradi wa Uboreshaji Usalama wa Umiliki Ardhi unaenda kuboresha usalama katika kumiliki ardhi katika maeneo ya mjini na vijijini.Kwa upande wa halmashauri ya wilaya ya Bariadi mradi utatekelezwa kwa upande wa mlengwa  kuboresha usalama wa umiliki upande wa mjini.


Alisema utekelezaji wa mradi ulianza tangu mwaka 2022, baada ya serikali yetu kupata fedha za mkopo kutoka benki ya dunia kwa ajili ya kutekeleza zoezi hilo.Mradi utakuwa wa miaka mitano, kuanzia 2022 mpaka 2027.Yapo maeneo mbalimbali katika halmashauri nyingine ambako mradi umeshaanza kutekelezwa na jana mradi umeanza rasmi halmashauri ya wilaya ya Bariadi kwa kuanza na kikao cha wadau.


Ndg Paulo Kitosi alisema lengo mahusisi la mradi ni kuboresha na kuongeza utawala na usalama wa umiliki wa ardhi katika maeneo ya mjini na vijijini.Kuwa na usalama wa umiliki wa ardhi ni pale ambapo ardhi yako inakuwa imepangwa kwa matumizi sahihi kwa kupimwa na kupewa mipaka sahihi iliyo katika ramani na kumilikishwa au kupewa hati miliki, hivyo utakuwa na usalama wa umiliki, usalama wa matumizi wa ardhi husika na kuwa na usalama wa mipaka ya maeneo yako.Mradi utasaidia kupata hati miliki kwa wakati na kuokoa muda.


Alisema lengo lingine la mradi huu ni kuongeza uelewa kuhusu usalama wa umiliki wa ardhi kwa wananchi kwa kuwafundisha umiliki salama wa matumizi ya ardhi ukoje na manufaa ni yapi na kuielewesha jamii katika maswala ya kijinsia katika umiliki wa ardhi ya koje na maswala ya mazingira katika umiliki aridhi yakoje,ili kuwepo na usalama wa umiliki ardhi. Pia mradi utasaidia kuongeza idadi ya watanzania katika kumiliki ardhi kwa kupimiwa na kupata nyaraka sahihi na hata itaepusha migogoro ya ardhi iliyopo hivi sasa.


Mradi wa uboreshaji usalama wa umiliki ardhi utaongeza ufanisi utakaofanya wamiliki kushiriki katika mchakato wa uwaandaaji wa umiliki ardhi na kuongeza usalama wa umiliki ardhi.

Matangazo

  • RIPOTI YA MGAWANYO WA IDADI YA WATU KWA UMRI NA JINSI February 13, 2024
  • Mwongozo wa Kitaifa wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 February 19, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji daftari la kudumu la mpiga kura. August 31, 2024
  • Tangazo la Shughuli ya Muda Mfupi kwaajili ya Uchaguzi September 17, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • RC Kihongosi Akabidhi Pikipiki na Vifaa vya Kidijitali Kuboresha Huduma za VVU Bariadi.

    May 08, 2025
  • BARIADI DC KUANZA KUTOA DOZI YA PILI YA CHANJO YA SINDANO YA POLIO (IPV2) KUANZIA MEI 2025

    April 30, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAPEWA MAFUNZO KWAAJILI YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI

    April 29, 2025
  • MWENYEKITI WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI AONGOZA KIKAO CHA KUJIRIDHISHA JUU YA MAOMBI YA KUGAWA JIMBO LA BARIADI

    April 24, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Afisa Wanyamapori Wilaya ya Bariadi, akifafanua kwa undani Banuai ya Halmashauri Wilaya ya Bariadi
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matangazo
  • Habari
  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YAWILAYA BARIADI

Kurasa Husishi

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • Wizara ya Fedha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Bariadi

    Anuani: 109-Bariadi

    Simu: 028 2700012

    Simu: +255683705815

    Barua Pepe: info@bariadidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2019 Bariadi District Council . All rights reserved.