• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Bariadi District Council
Bariadi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi

  • Mwanzo
  • Huduma
    • Elimu
    • Teknolojia Habari na Mawasiliano
    • Maji
    • Miundombinu
    • Mapato
      • Mazao
      • Pamba
      • Zabuni
      • Minada
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Utawala
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Formu za Maombi
    • Bajeti
    • Vibali
    • Miungozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albamu za Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Endelevu
    • Uwekezaji

OLE YATOLEWA DHIDI YA WADAKUZI WA BEI YA PAMBA

Posted on: July 4th, 2024

Mnamo tarehe 8/5/2024 ikiwa tu ni mwanzoni mwa msimu wa mavuno ya pamba,Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilitoa bei elekezi ya kuuza pamba kuwa tsh 1150 au zaidi kwa kilo moja.


"Mpaka sasa bei ya pamba kwa kilo moja ni tsh 1400 na bei itaendelea kupanda zaidi". Haya yamesemwa na Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Bariadi, Ndg. Simon Simalenga leo wakati akizungumza na wananchi wa Kata ya Banemhi, Kijiji cha Mwaunkwaya kwenye ziara iliyofanywa na Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, lengo likiwa kusikiliza na kutafuta njia za kutatua kero za wananchi.


Mhe. Simalenga ametoa onyo kuwa asitokee mtu yoyote ambaye atamtisha mwenye kampuni yoyote anayetaka kupandisha bei ya pamba, kwani kupanda kwa bei ya pamba kunawanufaisha wananchi.


Sababu kubwa iliyosababisha bei kupanda ni ushindani kati ya makampuni yanayo nunua pamba na baada ya kununua, kampuni inayouza pamba kwa bei ya juu, ndio inayouza sana.Haya yamesemwa na Afisa Mifugo Wilaya, Ndg. Wilbert Siogopi.


Pamoja na kuanza msimu wa mavuno, zao la pamba kwa mwaka huu liliathiriwa na mvua nyingi zilizonyesha katika eneo la halmashauri na mpaka sasa mavuno hayo ni ya wastani ukilinganisha na takwimu za mwaka jana mavuno yalikuwa  96.27%  sawa na kiasi cha fedha  tsh 683,193,176.

#bariadidc

Matangazo

  • RIPOTI YA MGAWANYO WA IDADI YA WATU KWA UMRI NA JINSI February 13, 2024
  • Mwongozo wa Kitaifa wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 February 19, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji daftari la kudumu la mpiga kura. August 31, 2024
  • Tangazo la Shughuli ya Muda Mfupi kwaajili ya Uchaguzi September 17, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • Muonekano Halisi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana Simiyu

    May 31, 2025
  • ZIARA YA MIRADI YA MAENDELEO BARIADI DC

    May 30, 2025
  • Maafisa Elimu Kata na Wakuu wa Shule Wapatiwa Mafunzo ya Usimamizi wa Ufundishaji na Ujifunzaji Fanisi.

    May 30, 2025
  • DC BARIADI AONYA WANANCHI KUTOCHUNGIA MIFUGO KWENYE MAPORI YA AKIBA

    May 16, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Afisa Wanyamapori Wilaya ya Bariadi, akifafanua kwa undani Banuai ya Halmashauri Wilaya ya Bariadi
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matangazo
  • Habari
  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YAWILAYA BARIADI

Kurasa Husishi

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • Wizara ya Fedha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Bariadi

    Anuani: 109-Bariadi

    Simu: 028 2700012

    Simu: +255683705815

    Barua Pepe: info@bariadidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2019 Bariadi District Council . All rights reserved.