• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Bariadi District Council
Bariadi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi

  • Mwanzo
  • Huduma
    • Elimu
    • Teknolojia Habari na Mawasiliano
    • Maji
    • Miundombinu
    • Mapato
      • Mazao
      • Pamba
      • Zabuni
      • Minada
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Utawala
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Formu za Maombi
    • Bajeti
    • Vibali
    • Miungozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albamu za Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Endelevu
    • Uwekezaji

RC Kihongosi Akabidhi Pikipiki na Vifaa vya Kidijitali Kuboresha Huduma za VVU Bariadi.

Posted on: May 8th, 2025


Bariadi, 08 Mei 2025 — Katika juhudi za kuboresha huduma za afya na mapambano dhidi ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU), Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mheshimiwa Kenani Kihongosi, amekabidhi pikipiki mbili pamoja na vifaa vya kisasa vya kielektroniki kwa Hospitali ya Halmashauri ya Mji wa Bariadi na Hospitali ya Wilaya ya Bariadi.


Msaada huo umetolewa na Shirika la AIDS Health Care Foundation (AHF) Tanzania, likiwa ni sehemu ya mchango wake katika kuinua kiwango cha upimaji, kinga, tiba, matunzo, na elimu ya afya kwa jamii kuhusu VVU.


Vifaa vilivyokabidhiwa ni pamoja na televisheni moja, simu janja sita, printer moja, kompyuta mpakato moja, kompyuta ya mezani moja, pamoja na external hard disc mbili zenye uwezo wa terabaiti moja kila moja. Vifaa hivi vitatumika moja kwa moja katika kurahisisha utoaji huduma na usimamizi wa taarifa muhimu za kiafya.


Akizungumza wakati wa tukio hilo lililoshuhudiwa na Mkuu wa Wilaya ya Bariadi, Mheshimiwa Simon Simalenga, RC Kihongosi aliwahimiza viongozi wa halmashauri kuhakikisha vifaa hivyo vinatunzwa kwa uangalifu na kutumika kwa malengo yaliyokusudiwa.


“Lengo letu ni kuhakikisha kila mwananchi anapata huduma bora, hasa katika mapambano dhidi ya VVU. Vifaa hivi ni nyenzo muhimu katika kufanikisha hilo,” alisema Kihongosi.


Kwa upande wao, wakurugenzi wa halmashauri zote mbili walipokea vifaa hivyo kwa shukrani na kuahidi kuhakikisha vinatumika kikamilifu kuboresha afya ya jamii ya Bariadi.


Huu ni mfano wa ushirikiano chanya kati ya serikali na wadau wa maendeleo katika kuhakikisha afya ya Watanzania inalindwa na kuimarishwa.




Matangazo

  • RIPOTI YA MGAWANYO WA IDADI YA WATU KWA UMRI NA JINSI February 13, 2024
  • Mwongozo wa Kitaifa wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 February 19, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji daftari la kudumu la mpiga kura. August 31, 2024
  • Tangazo la Shughuli ya Muda Mfupi kwaajili ya Uchaguzi September 17, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • RC Kihongosi Akabidhi Pikipiki na Vifaa vya Kidijitali Kuboresha Huduma za VVU Bariadi.

    May 08, 2025
  • BARIADI DC KUANZA KUTOA DOZI YA PILI YA CHANJO YA SINDANO YA POLIO (IPV2) KUANZIA MEI 2025

    April 30, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAPEWA MAFUNZO KWAAJILI YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI

    April 29, 2025
  • MWENYEKITI WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI AONGOZA KIKAO CHA KUJIRIDHISHA JUU YA MAOMBI YA KUGAWA JIMBO LA BARIADI

    April 24, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Afisa Wanyamapori Wilaya ya Bariadi, akifafanua kwa undani Banuai ya Halmashauri Wilaya ya Bariadi
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matangazo
  • Habari
  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YAWILAYA BARIADI

Kurasa Husishi

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • Wizara ya Fedha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Bariadi

    Anuani: 109-Bariadi

    Simu: 028 2700012

    Simu: +255683705815

    Barua Pepe: info@bariadidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2019 Bariadi District Council . All rights reserved.