• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Bariadi District Council
Bariadi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi

  • Mwanzo
  • Huduma
    • Elimu
    • Teknolojia Habari na Mawasiliano
    • Maji
    • Miundombinu
    • Mapato
      • Mazao
      • Pamba
      • Zabuni
      • Minada
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Utawala
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Formu za Maombi
    • Bajeti
    • Vibali
    • Miungozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albamu za Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Endelevu
    • Uwekezaji

SIMIYU YANGU, MAMA AMERUDI NYUMBANI!

Posted on: June 15th, 2025

Jua linatua kwa aibu, likisafisha anga la Simiyu kwa rangi za dhahabu na shaba. Upepo mwanana unapuliza kwa furaha, ukichanganyika na vigelegele vya akina mama, nderemo za vijana, na bashasha za watoto waliovalia mavazi yao bora zaidi. Simiyu imeamka,imefufuka kwa heshima!


Barabara zimepambwa, mioyo imeandaliwa, na nyimbo za mapokezi zinatingisha anga la jioni... Mama yetu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameingia! Ni mapokezi ya kihistoria ,si kwa viongozi tu, bali kwa kila mwana wa Simiyu aliyejaa shukrani.


Mama anashuka na tabasamu lake la daima, macho yakimulika kwa upendo wa kweli. Tunamwambia kwa sauti moja:

Karibu sana Mama, jisikie uko nyumbani!


Leo si tu mapokezi, bali ni hadithi ya uzalendo, uongozi wa huruma, na uthubutu wa mwanamke shupavu. Leo Simiyu imeandika ukurasa mwingine wa historia wa mapenzi ya Taifa kwa Mama wa Taifa.

Matangazo

  • RIPOTI YA MGAWANYO WA IDADI YA WATU KWA UMRI NA JINSI February 13, 2024
  • Mwongozo wa Kitaifa wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 February 19, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji daftari la kudumu la mpiga kura. August 31, 2024
  • Tangazo la Shughuli ya Muda Mfupi kwaajili ya Uchaguzi September 17, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • MATUKIO YA UPIMAJI ARDHI YAKIWASILISHA NEEMA MPYA KWA WAKAZI WA BARIADI

    June 23, 2025
  • MIPAKA ILIYOPIGWA MARUFUKU KUTOLEWA HATI MILIKI YABAINISWA RASMI

    June 23, 2025
  • SAFARI YA PAMOJA BARIADI

    June 21, 2025
  • Mkuu wa Wilaya Atoa Pongezi kwa Baraza la Madiwani Bariadi kwa Uadilifu na Uwajibikaji wa Hali ya Juu

    June 21, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Afisa Wanyamapori Wilaya ya Bariadi, akifafanua kwa undani Banuai ya Halmashauri Wilaya ya Bariadi
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matangazo
  • Habari
  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YAWILAYA BARIADI

Kurasa Husishi

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • Wizara ya Fedha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Bariadi

    Anuani: 109-Bariadi

    Simu: 028 2700012

    Simu: +255683705815

    Barua Pepe: info@bariadidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2019 Bariadi District Council . All rights reserved.