• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Bariadi District Council
Bariadi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi

  • Mwanzo
  • Huduma
    • Elimu
    • Teknolojia Habari na Mawasiliano
    • Maji
    • Miundombinu
    • Mapato
      • Mazao
      • Pamba
      • Zabuni
      • Minada
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Utawala
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Formu za Maombi
    • Bajeti
    • Vibali
    • Miungozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albamu za Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Endelevu
    • Uwekezaji

SIMIYU YAWEKA MIKAKATI YA KUBORESHA ELIMU NA UFAULU ENDELEVU

Posted on: February 11th, 2025

Katika kuendeleza juhudi za kupandisha ufaulu wa wanafunzi Mkoa wa Simiyu umeweka mikakati mbalimbali ambayo itasaidia wanafunzi kufanya vizuri katika mitihani yao.


Akizungumza katika kikao cha tathmini ya utekelezaji wa shughuli za kielimu kwa kuzingatia vigezo vya upimaji, Afisa Elimu Mkoa wa Simiyu Ndg.Khalifa Shemahonge amebainisha kuwa miongoni mwa mikakati ambayo Mkoa umeweka ni pamoja na kuchochea Ari ya utendaji kazi kwa walimu, utoaji wa chakula shuleni, kusimamia ufundishaji fanisi, kuanzisha kambi salama za taaluma pamoja na uboreshaji wa miundombinu na samani.


Aidha Afisa Elimu huyo alisisitiza ili wanafunzi waweze kufaulu vizuri katika mitihani yao ni lazima jamii na wadau wote wa elimu kila kundi liweze kutimiza wajibu wake, baadhi ya wadau hao ni pamoja na walimu, wazazi, viongozi wa Serikali za vijiji na kata na hata viongozi wa kimila.


"Nenda kaikamate jamii, huwezi kuchomoka peke yako hata siku moja, kaondoe ugomvi wako na Mtendaji wa Kata, kaondoe ugomvi wako na viongozi wa dini, kaondoe ugomvi wako na viongozi wa kisiasa" alisisitiza Afisa Elimu huyo.


Aidha katika kikao kazi hicho Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi ilipongezwa kwa kuongoza kimkoa katika matokeo ya Kidato cha Nne na darasa la Saba, mathalani Mtihani wa kumaliza elimu ya msingi jumla ya wanafunzi 4,951 wamefaulu mtihani huo sawa na asilimia 85.


Matangazo

  • RIPOTI YA MGAWANYO WA IDADI YA WATU KWA UMRI NA JINSI February 13, 2024
  • Mwongozo wa Kitaifa wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 February 19, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji daftari la kudumu la mpiga kura. August 31, 2024
  • Tangazo la Shughuli ya Muda Mfupi kwaajili ya Uchaguzi September 17, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • RC Kihongosi Akabidhi Pikipiki na Vifaa vya Kidijitali Kuboresha Huduma za VVU Bariadi.

    May 08, 2025
  • BARIADI DC KUANZA KUTOA DOZI YA PILI YA CHANJO YA SINDANO YA POLIO (IPV2) KUANZIA MEI 2025

    April 30, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAPEWA MAFUNZO KWAAJILI YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI

    April 29, 2025
  • MWENYEKITI WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI AONGOZA KIKAO CHA KUJIRIDHISHA JUU YA MAOMBI YA KUGAWA JIMBO LA BARIADI

    April 24, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Afisa Wanyamapori Wilaya ya Bariadi, akifafanua kwa undani Banuai ya Halmashauri Wilaya ya Bariadi
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matangazo
  • Habari
  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YAWILAYA BARIADI

Kurasa Husishi

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • Wizara ya Fedha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Bariadi

    Anuani: 109-Bariadi

    Simu: 028 2700012

    Simu: +255683705815

    Barua Pepe: info@bariadidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2019 Bariadi District Council . All rights reserved.