• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Bariadi District Council
Bariadi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi

  • Mwanzo
  • Huduma
    • Elimu
    • Teknolojia Habari na Mawasiliano
    • Maji
    • Miundombinu
    • Mapato
      • Mazao
      • Pamba
      • Zabuni
      • Minada
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Utawala
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Formu za Maombi
    • Bajeti
    • Vibali
    • Miungozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albamu za Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Endelevu
    • Uwekezaji

‎UJENZI WA DARAJA LA MRIDAMRIDA – KATA YA NKINDWABIYE ‎

Posted on: July 10th, 2025

‎Ujenzi wa daraja la Mridamrida, linalotekelezwa katika Kata ya Nkindwabiye, unaendelea chini ya ufadhili wa Benki ya Dunia kupitia Mradi wa RISE.

‎

‎- Gharama ya Mradi:

‎

‎Kiasi kilichotolewa: TZS 461,474,000

‎

‎Kodi ya VAT (18%): TZS 82,471,320

‎

‎Jumla ya gharama ya mradi (pamoja na VAT): TZS milioni 543.9

‎

‎

‎- Muda wa Utekelezaji:

‎

‎Umeanza rasmi: 29 Agosti 2024

‎

‎Unatarajiwa kukamilika: 30 Agosti 2025

‎

‎

‎- Lengo la Mradi: Mradi huu unalenga kuunganisha eneo la Mashariki mwa Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi (Kata ya Nkindwabiye) na eneo la Magharibi (Kata za Mwadobana na Nkololo). Pia unalenga:

‎

‎- Kuondoa changamoto ya usafiri kwa wananchi wanaosafiri kwenda kupata huduma za afya katika Kituo cha Afya Byuna na Hospitali ya Nkololo.

‎

‎- Kuboreshwa kwa mawasiliano ya kudumu kati ya Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi na Halmashauri ya Mji wa Bariadi ,Makao Makuu ya Mkoa wa Simiyu.

‎

#‎taruraSimiyu

‎

‎

Matangazo

  • RIPOTI YA MGAWANYO WA IDADI YA WATU KWA UMRI NA JINSI February 13, 2024
  • Mwongozo wa Kitaifa wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 February 19, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji daftari la kudumu la mpiga kura. August 31, 2024
  • Tangazo la Shughuli ya Muda Mfupi kwaajili ya Uchaguzi September 17, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • MRADI Wa MAJI BANHEMI WAKAMILIKA KWA MAFANIKIO!

    July 11, 2025
  • ‎UJENZI WA DARAJA LA MRIDAMRIDA – KATA YA NKINDWABIYE ‎

    July 10, 2025
  • UJENZI WA MIUNDOMBINU YA KUDHIBITI TAKA HATARISHI WAKAMILIKA KIKAMILIFU

    July 10, 2025
  • MIFUGO 326,000 YACHANJWA NA KUTAMBULIWA NCHINI

    July 05, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Afisa Wanyamapori Wilaya ya Bariadi, akifafanua kwa undani Banuai ya Halmashauri Wilaya ya Bariadi
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matangazo
  • Habari
  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YAWILAYA BARIADI

Kurasa Husishi

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • Wizara ya Fedha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Bariadi

    Anuani: 109-Bariadi

    Simu: 028 2700012

    Simu: +255683705815

    Barua Pepe: info@bariadidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2019 Bariadi District Council . All rights reserved.