Wataalamu Kutoka Idara ya Ujenzi na Mafundi wakikagua Miundombinu ya Kudhibiti Taka Hatarishi ambayo imekamilika.
Tunayo furaha kuwataarifu kuwa ujenzi wa miundombinu ya kudhibiti taka hatarishi katika Zahanati ya Nyamswa, iliyopo Kata ya Kilalo , umekamilika kikamilifu!
✅ Kazi zilizotekelezwa ni pamoja na:
Bariadi
Anuani: 109-Bariadi
Simu: 028 2700012
Simu: +255683705815
Barua Pepe: info@bariadidc.go.tz
Copyright ©2019 Bariadi District Council . All rights reserved.