• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Bariadi District Council
Bariadi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi

  • Mwanzo
  • Huduma
    • Elimu
    • Teknolojia Habari na Mawasiliano
    • Maji
    • Miundombinu
    • Mapato
      • Mazao
      • Pamba
      • Zabuni
      • Minada
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Utawala
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Formu za Maombi
    • Bajeti
    • Vibali
    • Miungozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albamu za Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Endelevu
    • Uwekezaji

WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WAPONGEZWA KWA KUTEULIWA KUSIMAMIA UCHAGUZI MKUU 2025

Posted on: August 4th, 2025

Bariadi, 04 Agosti 2025

Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Bariadi Vijijini, Bi. Beatrice Gwamagobe, kwa niaba ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), amewapongeza Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya Kata (ARO Kata) kwa kuaminiwa na kuteuliwa rasmi kusimamia Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba 2025.

Akizungumza mara baada ya kusainiwa kwa viapo vya uaminifu na utekelezaji wa majukumu yao, Bi. Gwamagobe aliwakumbusha ARO Kata hao kuwa uteuzi wao umezingatia masharti ya Kifungu cha 6(2) cha Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na. 1 ya mwaka 2024, ambayo inaweka msisitizo kwenye sifa za uadilifu, uaminifu, uzalendo na uchapakazi.

Aidha, alisisitiza kuwa utekelezaji wa majukumu yao unatakiwa kuendana na masharti ya Ibara ya 74(6) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, ambayo inatambua kwamba Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ndiyo yenye mamlaka ya kusimamia na kuratibu uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani.

“Kwa kuzingatia niliyoeleza awali, nyinyi mliopo hapa mmeteuliwa kwa mujibu wa sheria, na tangu tarehe ya uteuzi wenu mnao wajibu wa kikatiba na kisheria wa kusimamia na kuratibu uendeshaji wa Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani kwa niaba ya Tume, katika maeneo yenu ya uteuzi,” alieleza Bi. Gwamagobe.

Uteuzi wa ARO Kata ni hatua muhimu katika maandalizi ya uchaguzi unaotarajiwa kufanyika kwa uwazi, haki na amani. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi inaendelea kuimarisha misingi ya demokrasia kwa kuhakikisha kila hatua ya maandalizi ya uchaguzi inazingatia sheria na taratibu za nchi.

Kwa mwaka 2025, Tanzania inakadiriwa kuwa na jumla ya Majimbo ya Uchaguzi 264, ikiwa ni Tanzania Bara (214) na Zanzibar (50).
Maandalizi katika kila jimbo yanaendelea kuratibiwa kwa weledi na uwazi.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI ZA WASIMAMIZI WA VITUO, WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO NA MAKARANI WAONGOZAJI WA UCHAGUZI MKUU 2025 October 15, 2025
  • TAARIFA YA MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 February 19, 2024
  • KANUNI ZA MAADILI YA UCHAGUZI MKUU WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI ZA MWAKA 2025 April 18, 2025
  • RIPOTI YA MGAWANYO WA IDADI YA WATU KWA UMRI NA JINSI February 13, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • MKUU WA WILAYA AKABIDHI TREKTA 26 KUANZA MSIMU MPYA WA KILIMO BARIADI

    October 13, 2025
  • KAMATI YA MIKOPO BARIADI YAFANYA UKAGUZI WA VIKUNDI VYA WANUFAIKA

    September 29, 2025
  • MAENDELEO YA MRADI WA UTUNZAJI WA MAZINGIRA – SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA MKOA WA SIMIYU

    September 10, 2025
  • MAENDELEO YA MRADI WA UJENZI WA BWENI NA UZIO – SHULE YA MSINGI IGAGANULWA

    September 03, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Afisa Wanyamapori Wilaya ya Bariadi, akifafanua kwa undani Banuai ya Halmashauri Wilaya ya Bariadi
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matangazo
  • Habari
  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YAWILAYA BARIADI

Kurasa Husishi

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • Wizara ya Fedha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Bariadi

    Anuani: 109-Bariadi

    Simu: 028 2700012

    Simu: +255683705815

    Barua Pepe: info@bariadidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2019 Bariadi District Council . All rights reserved.