• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Bariadi District Council
Bariadi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi

  • Mwanzo
  • Huduma
    • Elimu
    • Teknolojia Habari na Mawasiliano
    • Maji
    • Miundombinu
    • Mapato
      • Mazao
      • Pamba
      • Zabuni
      • Minada
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Utawala
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Formu za Maombi
    • Bajeti
    • Vibali
    • Miungozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albamu za Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Endelevu
    • Uwekezaji

WATAALAMU WAFUNDISHWA JINSI YA KUPIMA NA KUBAINISHA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUMU

Posted on: July 9th, 2024


 Mafunzo ya Upimaji na  Kubainisha Watoto/Wanafunzi wenye Mahitaji  Maalumu yametolewa katika Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi kwa muda wa siku tatu  kwa kushirikisha Wataalamu wa Afya, Maendeleo ya jamii na Walimu chini ya Wataalamu kutoka Shule Bora na Afisaelimu Elimu Maalumu Wilaya ya Bariadi lengo likiwa kujifunza jinsi ya kuwapima na kubainisha watoto/wanafunzi wenye mahitaji maalumu kielimu ili waweze kupata Elimu wanayostahili kwa njia sahihi.Katika kubainisha watoto wenye mahitaji maalumu kielimu mbinu zilizobainishwa ili kuwapata ni pamoja na kuwatafuta katika maeneo ya ibada, kutembelea maeneo wanayoishi, kwenye mikutano, kambi za wakimbizi,kutembelea ofisi za uhamiaji na kushirikisha jamii kwa ujumla. Haya yamesemwa na Mwl. Nasuna Henry, Afisaelimu Elimu, Wilaya ya Bariadi.

Mwl. Nasuna amesema ili kufanikisha zoezi wahusika wanapaswa kuungana na Maafisa Ustawi wa Jamii ngazi ya Kata ili kuweza kubaini watoto/wanafunzi wanaoishi katika familia zenye umaskini uliokithiri,watoto yatima na makundi yaliyo katika mazingira hatarishi.Pia wataalamu waliopata mafunzo hayo wanapaswa kuendelea kuratibu  mafunzo elekezi kwa walimu katika ngazi za shule za Msingi na Sekondari ili kuendelea kuwasaidia hawa watoto wenye mahitaji maalumu.Mwl. Nasuna Henry akisikiliza mawazo ya Timu itakayo Bainisha na Kupima Watoto wenye Mahitaji Maalumu


Mafunzo hayo yamehusisha jinsi ya kuchambua vipengele vya fomu ya upimaji na ubainishaji wa awali wa mtoto/ mwanafunzi mwenye uhitaji maalumu kwa kupata taarifa binafsi,kuangalia ni changamoto zipi anazokabili, kuangalia uwezo wa mtoto,( anachoweza/asichoweza) na jinsi ya kupanga na kutekeleza mipango ya mtoto/mwanafunzi huyo mwenye mahitaji maalumu.

Ufuatiliaji wa ubainishaji na upimaji wa watoto/wanafunzi wenye mahitaji maalumu ya kielimu ni mchakato endelevu wa kupitia upya shughuli zilizopangwa ili kuhakikisha zinafanyika kwa kuzingatia malengo yaliyokusudiwa. Ufuatiliaji utafanyika kupitia ziara za kiutendaji angalau
mara nne kwa mwaka. Ufuatiliaji utabaini mafanikio na changamoto na kutoa ushauri utakaosaidia kuboresha
ubainishaji, upimaji na utoaji afua stahiki kwa watoto/wanafunzi wenye mahitaji maalumu ya kielimu.

Matangazo

  • RIPOTI YA MGAWANYO WA IDADI YA WATU KWA UMRI NA JINSI February 13, 2024
  • Mwongozo wa Kitaifa wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 February 19, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji daftari la kudumu la mpiga kura. August 31, 2024
  • Tangazo la Shughuli ya Muda Mfupi kwaajili ya Uchaguzi September 17, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • RC Kihongosi Akabidhi Pikipiki na Vifaa vya Kidijitali Kuboresha Huduma za VVU Bariadi.

    May 08, 2025
  • BARIADI DC KUANZA KUTOA DOZI YA PILI YA CHANJO YA SINDANO YA POLIO (IPV2) KUANZIA MEI 2025

    April 30, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAPEWA MAFUNZO KWAAJILI YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI

    April 29, 2025
  • MWENYEKITI WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI AONGOZA KIKAO CHA KUJIRIDHISHA JUU YA MAOMBI YA KUGAWA JIMBO LA BARIADI

    April 24, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Afisa Wanyamapori Wilaya ya Bariadi, akifafanua kwa undani Banuai ya Halmashauri Wilaya ya Bariadi
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matangazo
  • Habari
  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YAWILAYA BARIADI

Kurasa Husishi

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • Wizara ya Fedha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Bariadi

    Anuani: 109-Bariadi

    Simu: 028 2700012

    Simu: +255683705815

    Barua Pepe: info@bariadidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2019 Bariadi District Council . All rights reserved.