• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Bariadi District Council
Bariadi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi

  • Mwanzo
  • Huduma
    • Elimu
    • Teknolojia Habari na Mawasiliano
    • Maji
    • Miundombinu
    • Mapato
      • Mazao
      • Pamba
      • Zabuni
      • Minada
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Utawala
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Formu za Maombi
    • Bajeti
    • Vibali
    • Miungozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albamu za Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Endelevu
    • Uwekezaji

WATENDAJI WAPEWA MAFUNZO YA MFUMO WA UKUSANYAJI WA TAKWIMU ZA MAJENGO

Posted on: April 14th, 2025

Watendaji wa Kata na vijiji kutoka Kata tatu za Nkololo, Dutwa na Sapiwi jana Aprili 14, 2025 wamepewa mafunzo juu ya matumizi ya mfumo wa ukusanyaji wa takwimu za majengo ambao unalengo la kukusanya taarifa za majengo ili kuwezesha ukusanyaji wa kodi ya majengo.


Akifafanua wakati wa mafunzo hayo mmoja wa wawezeshaji wa mafunzo hayo Bw. Francis Johanes amebainisha viwango vya kodi hizo kuwa, nyumba ya kawaida isiyo ya ghorofa kwa mwaka ni shilingi 18,000 na kwa majengo ya ghorofa kila sakafu (floor) moja ni shilingi 90,000 kwa mwaka.


Aidha mwezeshaji huyo alibainisha kuwa yapo majengo mbalimbali ambayo sheria imetoa msamaha wa kodi hiyo, miongoni mwa majengo hayo ni pamoja na; majengo ya serikali yanayotumika kwa matumizi ya umma, majengo ya taasisi za dini ambayo hayatumiki kibiashara na kujipatia kipato, majengo yanayomilikiwa na asasi zisizo za kiserikali ambayo hayatumiki kibiashara pamoja na nyumba za tope, nyumba zilizojengwa na miti na udongo ambazo hutumika kwa makazi.


Wananchi wametakiwa kutoa ushirikiano katika kufanikisha zoezi hili ambalo linatarajiwa kuanza kata za Dutwa, Nkololo na Sapiwi kuanzia tarehe 15 Aprili, 2025. Aidha wananchi wanakumbushwa kuwa ukusanyaji wa kodi hii kwa mfumo wa LUKU utaendelea kutumika kwa walipa kodi wenye mita za umeme na kwa walipa kodi wasio na mita za umeme mfumo wa TAUSI utatumika kukusanya kodi hiyo ambapo wateja hao watatumiwa ankara za madai kulingana na viwango vilivyobainishwa kwa mujibu wa sheria.


Matangazo

  • RIPOTI YA MGAWANYO WA IDADI YA WATU KWA UMRI NA JINSI February 13, 2024
  • Mwongozo wa Kitaifa wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 February 19, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji daftari la kudumu la mpiga kura. August 31, 2024
  • Tangazo la Shughuli ya Muda Mfupi kwaajili ya Uchaguzi September 17, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • RC Kihongosi Akabidhi Pikipiki na Vifaa vya Kidijitali Kuboresha Huduma za VVU Bariadi.

    May 08, 2025
  • BARIADI DC KUANZA KUTOA DOZI YA PILI YA CHANJO YA SINDANO YA POLIO (IPV2) KUANZIA MEI 2025

    April 30, 2025
  • WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WAPEWA MAFUNZO KWAAJILI YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI

    April 29, 2025
  • MWENYEKITI WA TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI AONGOZA KIKAO CHA KUJIRIDHISHA JUU YA MAOMBI YA KUGAWA JIMBO LA BARIADI

    April 24, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Afisa Wanyamapori Wilaya ya Bariadi, akifafanua kwa undani Banuai ya Halmashauri Wilaya ya Bariadi
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matangazo
  • Habari
  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YAWILAYA BARIADI

Kurasa Husishi

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • Wizara ya Fedha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Bariadi

    Anuani: 109-Bariadi

    Simu: 028 2700012

    Simu: +255683705815

    Barua Pepe: info@bariadidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2019 Bariadi District Council . All rights reserved.