• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Bariadi District Council
Bariadi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi

  • Mwanzo
  • Huduma
    • Elimu
    • Teknolojia Habari na Mawasiliano
    • Maji
    • Miundombinu
    • Mapato
      • Mazao
      • Pamba
      • Zabuni
      • Minada
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Utawala
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Formu za Maombi
    • Bajeti
    • Vibali
    • Miungozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albamu za Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Endelevu
    • Uwekezaji

WILAYA YA BARIADI YAANZA HATUA YA UBORESHAJI USALAMA WA UMILIKI ARIDHI

Posted on: May 15th, 2024

 "Nawashukuru wote kwa kuitikia kuhudhuria kikao cha wadau " stakeholders engagement forum" ndani ya wilaya cha kujadili utekelezaji wa miradi na uboreshaji wa usalama wa umiliki wa ardhi nchi, ambapo tutajadili utekelezaji wa miradi wa uboreshaji salama wa umiliki wa ardhi katika halmashauri ya wilaya ya Bariadi"


 Akianza kufungua kikao cha kujadili utekelezaji wa miradi na uboreshaji usalama wa umiliki ardhi, Mkurugenzi Mtendaji halmashauri ya wilaya ya Bariadi, Ndg. Halidi M. Mbwana alianza kwa kuwashukuru wadau  katika ukumbi wa Bariadi Conference leo asubuhi.


Mkurugenzi Mtendaji  amesmshukuru Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kuwaletea watanzania mradi salama wa Uboreshaji wa Umiliki wa Ardhi  nchini, mradi ambao unaenda kutatua na kuondoa kero mbalimbali za ardhi ikiwemo kutatua migogoro ya mipaka, kero za migogoro ya matumizi ya ardhi, migogoro ya wakulima na wafugaji,na kuwapa wananchi waishio vijijini na mjini, hati miliki ya maeneo yao hali itakayopelekea na kuwa na usalama wa umiliki ardhi zao.


Pia ameshukuru Menejimenti ya Maendeleo ya Ardhi chini ya Mhe. Mbunge Jerry Slaa, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa kuchagua Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi kuwa miungoni mwa halmashauri thelathini na nne zitakazotekeleza uboreshaji  salama wa umiliki wa ardhi mjini na vijijini.


Amesisitiza kuwa halmashauri imepokea mradi huu rasmi leo kwa kuanza na mkutano wa wadau, na ameomba wataalamu wote walioteuliwa kuunda ofisi ya uratibu wa halmashauri na kutoa ushirikiano wa kutosha  katika utekelezaji wa kazi za mradi huo.


Mkurugenzi Mtendaji huyo  amewahakikishia kuwa menejimenti ya halmashauri ya wilaya ya Bariadi anayoiongoza itahakikisha mradi unaenda kama ilivyopangwa na kukubaliwa na wadau wa wilaya ya Bariadi.


Kupitia mradi huu kutakuwa na kupanga na kupima maeneo ya vijiji arobaini na moja na kutoa hati miliki elfu sabini na moja zitakazomilikishwa kwa wananchi wa halmashauri ya wilaya ya Bariadi.


Matangazo

  • RIPOTI YA MGAWANYO WA IDADI YA WATU KWA UMRI NA JINSI February 13, 2024
  • Mwongozo wa Kitaifa wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 February 19, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji daftari la kudumu la mpiga kura. August 31, 2024
  • Tangazo la Shughuli ya Muda Mfupi kwaajili ya Uchaguzi September 17, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • Muonekano Halisi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana Simiyu

    May 31, 2025
  • ZIARA YA MIRADI YA MAENDELEO BARIADI DC

    May 30, 2025
  • Maafisa Elimu Kata na Wakuu wa Shule Wapatiwa Mafunzo ya Usimamizi wa Ufundishaji na Ujifunzaji Fanisi.

    May 30, 2025
  • DC BARIADI AONYA WANANCHI KUTOCHUNGIA MIFUGO KWENYE MAPORI YA AKIBA

    May 16, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Afisa Wanyamapori Wilaya ya Bariadi, akifafanua kwa undani Banuai ya Halmashauri Wilaya ya Bariadi
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matangazo
  • Habari
  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YAWILAYA BARIADI

Kurasa Husishi

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • Wizara ya Fedha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Bariadi

    Anuani: 109-Bariadi

    Simu: 028 2700012

    Simu: +255683705815

    Barua Pepe: info@bariadidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2019 Bariadi District Council . All rights reserved.