• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
Bariadi District Council
Bariadi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi

  • Mwanzo
  • Huduma
    • Elimu
    • Teknolojia Habari na Mawasiliano
    • Maji
    • Miundombinu
    • Mapato
      • Mazao
      • Pamba
      • Zabuni
      • Minada
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Utawala
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Formu za Maombi
    • Bajeti
    • Vibali
    • Miungozo
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albamu za Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Endelevu
    • Uwekezaji

ZOEZI LA CHANJO YA VITAMINI A NA LISHE KWA WATOTO LAENDELEA WILAYANI BARIADI

Posted on: June 18th, 2025

Zoezi la utoaji wa huduma za elimu kuhusu lishe na matone ya Vitamin A kwa watoto linaendelea katika Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi, likiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Mwezi wa Afya na Lishe kwa Mtoto (CHNM). Pichani ni baadhi ya watoto wakipokea huduma hizo muhimu leo.


Mwezi huu huadhimishwa mara mbili kila mwaka, mwezi Juni na Desemba ,na hufanyika kwa kipindi cha takribani siku 30. Katika kipindi hiki, watoto wenye umri wa kati ya miezi 6 hadi 59 hulengwa kupatiwa huduma za lishe ili kuhakikisha ukuaji na maendeleo bora ya kiafya.


Huduma zinazotolewa ni pamoja na:


Utoaji wa matone ya Vitamin A – kusaidia kuboresha uoni na kuimarisha kinga ya mwili.


Utoaji wa dawa za kutibu minyoo ya tumbo – kwa ajili ya kuzuia na kutibu maambukizi ya minyoo.


Tathmini ya hali ya lishe kwa watoto – ili kubaini watoto wenye utapiamlo au changamoto nyingine za lishe.


Pamoja na utoaji wa huduma hizo, jamii pia hupewa elimu kuhusu umuhimu wa afua hizo kwa afya ya mtoto na madhara yanayoweza kutokea endapo mtoto atakosa huduma hizi.


Kwa kuhakikisha kila mtoto anafikiwa, zoezi hili huambatana na huduma za outreach – ambapo watoa huduma huenda moja kwa moja kwenye maeneo ya jamii, vijiji na vitongoji ili kuwafikia watoto wote walio kwenye umri lengwa.


Tunaendelea kuwahamasisha wazazi na walezi kujitokeza kwa wingi ili kuhakikisha kila mtoto anapata huduma stahiki kwa ustawi bora wa afya na maisha yake ya baadaye.


#CHNM #AfyaYaMtoto #LisheBora #Bariadi

Matangazo

  • RIPOTI YA MGAWANYO WA IDADI YA WATU KWA UMRI NA JINSI February 13, 2024
  • Mwongozo wa Kitaifa wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 February 19, 2024
  • Tangazo la kuitwa kwenye mafunzo ya uboreshaji daftari la kudumu la mpiga kura. August 31, 2024
  • Tangazo la Shughuli ya Muda Mfupi kwaajili ya Uchaguzi September 17, 2024
  • Angalia Vyote

Habari Mpya

  • MATUKIO YA UPIMAJI ARDHI YAKIWASILISHA NEEMA MPYA KWA WAKAZI WA BARIADI

    June 23, 2025
  • MIPAKA ILIYOPIGWA MARUFUKU KUTOLEWA HATI MILIKI YABAINISWA RASMI

    June 23, 2025
  • SAFARI YA PAMOJA BARIADI

    June 21, 2025
  • Mkuu wa Wilaya Atoa Pongezi kwa Baraza la Madiwani Bariadi kwa Uadilifu na Uwajibikaji wa Hali ya Juu

    June 21, 2025
  • Angalia Vyote

Video

Afisa Wanyamapori Wilaya ya Bariadi, akifafanua kwa undani Banuai ya Halmashauri Wilaya ya Bariadi
Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Matangazo
  • Habari
  • TANGAZO LA KAZI HALMASHAURI YAWILAYA BARIADI

Kurasa Husishi

  • TAMISEMI
  • Utumishi
  • NECTA
  • Wizara ya Fedha

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    Bariadi

    Anuani: 109-Bariadi

    Simu: 028 2700012

    Simu: +255683705815

    Barua Pepe: info@bariadidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali Yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma

Copyright ©2019 Bariadi District Council . All rights reserved.